Kulupango
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 288
- 534
Kuliluwa na stress za kodi ya nyumba ya mama mwenye nyumba, na pesa ilikuwa imeshapatikana kwa ajili ya kulipwa, khafla meseji hiyo ikaingia. Jamaa akataka kuituma lakini roho ikasita, kumfata mwenye nyumba kasema hiyo meseji haitambui na wala hajatuma meseji hiyo na wakati matukio ya kuzoza kuhusu kodi na kuingia kwa meseji hiyo yamefatana.
Ujumbe kutoka Vodacom