Watanzania hutembea miendo mirefu kwenda kazini kwa miguu Marekani mtu katembeaa kilomita chache tu kwenda kazini kapewa gari na kuitwa mfano wa kuigwa na Kila mmarekani!! Toa maoni
Hakutembea zote alitembea kilometer chache tu akabebwa na gari ya polisi hadi kazini .Sikiliza hiyo clip vizuri usiangalie heading tu!!!Twenty miles ni kilometer karinia 30 hizo ,ni mtanzania gani anatembea kilometa hizo kwenda kazini? Lakini pia juu kutembea kwa miguu kwenye highways za U.S is an offence na ni hatari kuliko barabara za huku shithole ambazo hazijulikani ipi ni high way na ipi siyo
Huku kwetu hata police mwenyewe akiwa yuko off-duty akikutana na mapongo wenzake akapewa lift kwny defender yao atagoma tu,anajua kubambikiwa msala ni muda wowote ule.Hakutembea zote alitembea kilometer chache tu akabebwa na gari ya polisi hadi kazini .Sikiliza hiyo clip vizuri usiangalie heading tu!!!
Watanzania hutembea miendo mirefu kwenda kazini kwa miguu Marekani mtu katembeaa kilomita chache tu kwenda kazini kapewa gari na kuitwa mfano wa kuigwa na Kila mmarekani!! Toa maoni
Sorry 32km20miles= 16km..sio mchezo,terrain ikoje?
Watanzania hutembea miendo mirefu kwenda kazini kwa miguu Marekani mtu katembeaa kilomita chache tu kwenda kazini kapewa gari na kuitwa mfano wa kuigwa na Kila mmarekani!! Toa maoni
Mkuu hii conversion ya wapi?20miles= 16km..sio mchezo,terrain ikoje?
Watanzania hutembea miendo mirefu kwenda kazini kwa miguu Marekani mtu katembeaa kilomita chache tu kwenda kazini kapewa gari na kuitwa mfano wa kuigwa na Kila mmarekani!! Toa maoni
Nimerekebisa 1mile ni equivalent na 1.6kmMkuu hii conversion ya wapi?