Kigogo haonekani aisee..Karipoti kwa Kigogo!
Labda ni TISS yuko kazini!Kuna watu wamepinda nyie acheni. Pamoja na mkwara wa waziri mkuu lakini wapi!
SHANGINGI hilo, jana usiku mtu kalewa nalo chakali!
View attachment 1498150
Kwa hiyo akienda kuburudika asiende na gari?
Amesema "amelewa chakari" kilicho hitajika ni kapicha ka mhusika wa hilo gari.Hii picha haiwezi kutumika kuprove unachokisema,
Mtu anaweza akawa amepaki mbele ya Bar kisha akaenda sehemu nyingine kufuata huduma aitakayo,kupaki nje ya Bar hakutoshi kua ni ushahidi kamili kwa unachokituhumu mkuu.
Kazi na dawa wewe!-Zitto.Gari la serikali ni kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya serikali.
Hata ukimbeba mwanao kumpitisha shule wakati unaelekea kazini likitokea la kutokea ujue imekula kwako.
Watu wengi wenye kupenda umwinyi hutumia magari ya serikali kinyume na muongozo wa utumishi.
Hapo atakuwa njiani kutoka Bar kulewa anamwambia dereva awashe taa za tahadhari kumbe ndani kuna mlevi flani tu
Hiyo picha haiwezi kutushawishi kuamini kuwa huyo mtu alienda kulewa.Kuna watu wamepinda nyie acheni. Pamoja na mkwara wa waziri mkuu lakini wapi!
SHANGINGI hilo, jana usiku mtu kalewa nalo chakali!
View attachment 1498150
Upo Sahihi Mkuu.Hii picha haiwezi kutumika kuprove unachokisema,
Mtu anaweza akawa amepaki mbele ya Bar kisha akaenda sehemu nyingine kufuata huduma aitakayo,kupaki nje ya Bar hakutoshi kua ni ushahidi kamili kwa unachokituhumu mkuu.
Hii picha haiwezi kutumika kuprove unachokisema,
Mtu anaweza akawa amepaki mbele ya Bar kisha akaenda sehemu nyingine kufuata huduma aitakayo,kupaki nje ya Bar hakutoshi kua ni ushahidi kamili kwa unachokituhumu mkuu.
Unamaanisha teksi?Kwa hiyo akienda kuburudika asiende na gari?