mtu

  1. GENTAMYCINE

    Huku ‘ Mwarabu ‘ akiwa tayari ‘ Kumbikiri ‘ Mtu huko Mwanza Jumapili tayari Mabondeni Mafuriko FC wameshaanza ‘ Visingizio ‘ vyao

    Kocha wa Yanga sc amesema moja kati ya vitu ambavyo wachezaji wamekosa ni malengo.. . “ Inatakiwa toka mwanzo wa msimu mchezaji aweke malengo kwamba mimi kama kiungo lazima nitoe pasi za mwisho zaidi ya kumi na kufunga magoli zaidi ya kumi ktk msimu. Lakini ukiangalia wengi wanavyocheza ni kama...
  2. GENTAMYCINE

    Je, Serikali kupitia Wizara ya Afya na TBS wana taarifa kuhusu tangazo la ‘kitapeli‘ la Dawa ya Kumfanya Mtu aachane na Ulevi?

    Tangazo hilo linachezwa sana Wasafi fm (sijajua kwa Vituo vingine vya habari). Tangazo hilo linalosema kwamba hii dawa ya Hans Maks (naomba radhi kama nimeiandika vibaya) ukimpa tu Mtu Mlevi wa pombe ambaye ameshindakana kwa kila namna hasa ile ya ‘kimaombi‘ basi ukimpa hii Dawa ndani ya dakika...
Back
Top Bottom