mtu

  1. N

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje kwenye kila familia kuna mtu mmoja anayesumbua sana?

    Kama mke watoto wawili mmoja lazima ni kuumiza watu kila siku, mkiwa watatu lazima yupo na akiwa mmoja mara nyingi anasumbua. Sasa huko UK royal family Prince Harry na Andrew hatare
  2. Inkotanyi 94

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hadi leo NIDA hawana ujuzi wowote wa mtu kuijua namba yake kimtandao?

    Nimefikiria kwa kina taaruki ya NIDA kutofanikisha waliojiandikisha kupata namba zao hadi sasa. Nimefikiria kwa kina vyuo vyote vya IT tulivyonavyo. Nimefikiria uwezo wa kiuchumi wa Tanzania. Nimefikiria uwezo wa kiuongozi na kiutawala tulionao. Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa...
  3. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mtoto afariki dunia baada ya kugongeshwa kichwa kwenye gogo na mtu anayesadikiwa kuwa ni mgonjwa wa akili

    MTOTO Agnes Kiraba (3), mkazi wa Kijiji cha Mtakuja Kata ya Kirado wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu hospitalini baada ya kugongeshwa kichwa kwenye gogo na mtu anayesadikiwa kuwa ni mgonjwa wa akili. Mtoto huyo alipatwa na mauti katika Hospitali ya Wilaya...
  4. Bonde la Baraka

    JamiiForums Tanzania Tarehe 20, Jan, 2020 line za simu hazitafungwa badala yake atatumbuliwa mtu.

    Habari wakuu! Hii ni forecast yangu tu, ninavyozijua siasa za Tanzania tarehe ambayo tunatangaziwa na mitandao ya simu kuwa watazima line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole tukio litabadilishwa kutoka kufungia line mpaka kutumbuliwa mtu.
  5. xav bero

    JamiiForums Tanzania Uzee: Maana, kuzuia uzee wa mapema,changamoto na jinsi ya kuwatunza wazee

    Habari zenu wanajamii, Namshukuru Mungu amenibariki na kupata vingi navyomiliki ambavyo havina mipaka wala pesa isiyoweza kuvinunua kuliko vingi nilivyonavyo ambavyo vinamipaka ambavyo pesa inaweza kuvinunua,,, imefika kipindi nautaman uzee. Japo umri wngu bado sijafikisha hata miaka 40 lakini...
  6. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yapo, umepata? Utapata? Au hutopata kabisa??😌😌

    Mapenzi halisi yapo, wachache wamegusa kuonja na kuona mapenzi halisi, lakini it’s fate kama ilivyo kwa mambo mengine kwenye maisha kama elimu, afya njema, ustawi katika uchumi, kukubalika katika jamii( kibali machoni pa watu) si kila mtu anabahatika kupata.
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukizaa na mume wa mtu, mtoto ni wa kwako

    Mtoto anakuja katika mazingira mengi. Wengi wangependa wazaliwe au wazae kwenye ndoa. Kuna wengine humuomba mume wa mtu azae naye tu kwakuwa anahitaji mtoto. Wengine ni one night stand, mlienda field huko baridi ikawapiga mkafunga ndoa ya dakika kadhaa. Wengine ni michepuko ikatokea mimba...
  8. Da'Vinci

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

    Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda halafu yeye hana mpango na wewe. Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore. Ukiwa peke yako unakuwa unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio...
  9. Webabu

    JamiiForums Tanzania Kila mtu Tanzania anataka kuwa msanii, hii ina maana gani ?

    Katika miaka ya hivi karibuni watanzania walio wengi wanaonekana kuelemea upande wa sanaa katika kila kitu.Sanaa ipendwayo zaidi siyo ile ya uchongaji vinyago na uchoraji vibonzo ,La ! bali ni kuimba na kucheza muziki na kubwatuka kwenye maigizo. Fedha nyingi za masikini na matajiri zinaishia...
  10. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Huwezi kumpiga mtu na Kumnyima haki ya kulia

    Naandika haya nikitambua kwamba kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake kwa mujibu wa mtazamo na uelewa wake."Kuwa na uwezo au haki ya kumpiga mtu hakukupi haki au uwezo wa kumzuia kulia"Huu ni msemo wa wenye hekima wengi. Ni wajibu wa serikali na viongozi wote wa serikali kuhakikisha kwamba raia...
  11. britanicca

    JamiiForums Tanzania Mifumo mingi ya Tanzania ni ya kizamani. Usalama kumtaka mtu mpaka watumie third party, why?

    Nashangaa tunashindwa sana kumtrace mtu alipo mpaka kuwaita unaowahisi uwatese kujua fulani ni nani? Mifumo ya kisayansi na teknolojia haijatumiwa vema na Majeshi yetu, Hii ni ama walio na nafasi hizo walizipata kwa bahati au teknolojia yetu iko chini sana, Unamkamata mtu umtese akupe habari...
  12. G Sam

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni jambo gani ukiwa na mtu au mwenza umekaa naye akifanya linakukera?

    Ni jambo gani linakukera sana kama umekaa jirani na mtu au mwenza linakukera? Mimi yangu ni haya: 1. Nimekaa jirani na wewe halafu uanze kupekenyua pua kwa vidole aisee hii inanikera sana. Ukifanya hivyo halafu bahati mbaya uniguse lazima nikuchenjie maana inanikera kuliko maelezo. 2. Lingine...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Mtu mwenye degree anapoenda kujifunza kazi ya waliokosa Elimu ni ujumbe gani tunapata kuhusu Elimu yetu?

    Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies. Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu hachukizwi na uchafu wake?

    Utakuta mtu anajitolea hewa chafu ndani mwake tena mara nyingi tu na hata hachukizwi na harufu yake lakini kosa afanye mtu mwingine atachukia kweli. Utakuta mtu anajichezea tu kikwapa chake na kunusa kabisa. Kosa asikie kiharufu cha kwapa ya mwenzie. Utakuta mtu uchi (ashakum si matusi) wake...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa ni mtu mwenye maono, uthubutu na misimamo, anafaa kuwa Rais ajaye wa Tanzania, Mungu akutangulie, akulinde na akupiganie

    Awali ya yote napenda kukiri kwamba sijatumwa wala kutumika na yeyote kuandika juu ya hii mada, ni maoni na mtazamo wangu binafsi na pengine ni mtazamo wa wengine wengi wanaomtazama Lowassa kama ninavyomtazama mimi. Katika ulimwengu wa siasa, jambo dogo linaweza kujadiliwa kwa marefu na mapana...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Tanasha ni mtu sahihi kwa Diamond Platnumz

    Leo tuje kwenye maisha binafsi ya wasanii wetu nje ya mziki wao Tokea diamond awe na uhusiano na tanasha, mondi ametulia sana usikii sijui katoa na Nani Nampa pongezi tanasha kwa kumtuliza mondi maana mondi kiukweli kweli alizidisha kuchepuka hata kama ni mwanaume sio kwa vile. Tanasha ni mtu...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Prof Kabudi: Mh Rais Magufuli, jina la John maana yake ni ‘Mtu aliyependelewa na Mungu na kupewa baraka zote’

    Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Kabudi ametoa tafsiri ya jina la John kwa mujibu wa Biblia kuwa ni mtu aliyependelewa na Mungu wa mbinguni na kupewa baraka zote. Tafsiri hii imetolewa na Prof Kabudi mbele ya Rais Magufuli, nami Johnthebaptist nakubaliana na huyu mzee wangu wa Kanisa pale St Alban...
  18. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Nitaondoka madarakani kwa mujibu wa Kanuni na Katiba ya CCM na Katiba Nchi

    Aman iwe nanyi wakuu Rais Magufuli amedai kuwa licha ya mashinikizo mengi kutoka kila pande lakini yeye ataondoka madarakani kwa mujibu wa katiba ya CCM na nchi wala hataongeza miaka maana kazi ya Urais ni ngumu sana. Amedai kuna watanzania wengi tu ndani ya CCM wenye kuweza kuongoza nchi...
  19. masai dada

    JamiiForums Tanzania Kapotolo namtafuta huyu mtu jamani

    Kama una id mpya plz nijulishe ila nakutafuta mwaka wa tatu sasa. Please njoo pm. kapotolo
  20. S

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali inawezaje kuona ni sawa mtu kukaa mahabusu tangu Juni 2017 hadi Desemba 2019 na kuachiwa huru na Mahakama kuwa hana hatia?

    Watu wanasema suala la haki ya dhamana ni suala la katiba, hapana, mie napinga kwa nguvu zote kwamba hili ni suala serikali inapaswa kulishughulikia mara moja kwa sababu lina ukosefu mkubwa wa haki za binadamu na uonevu kwa wananchi. Suala la kuwa na makosa ambayo eti hayana dhamana ni uonevu...
Back
Top Bottom