Kama mke watoto wawili mmoja lazima ni kuumiza watu kila siku, mkiwa watatu lazima yupo na akiwa mmoja mara nyingi anasumbua.
Sasa huko UK royal family Prince Harry na Andrew hatare
Nimefikiria kwa kina taaruki ya NIDA kutofanikisha waliojiandikisha kupata namba zao hadi sasa. Nimefikiria kwa kina vyuo vyote vya IT tulivyonavyo. Nimefikiria uwezo wa kiuchumi wa Tanzania. Nimefikiria uwezo wa kiuongozi na kiutawala tulionao.
Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa...
MTOTO Agnes Kiraba (3), mkazi wa Kijiji cha Mtakuja Kata ya Kirado wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu hospitalini baada ya kugongeshwa kichwa kwenye gogo na mtu anayesadikiwa kuwa ni mgonjwa wa akili.
Mtoto huyo alipatwa na mauti katika Hospitali ya Wilaya...
Habari wakuu!
Hii ni forecast yangu tu, ninavyozijua siasa za Tanzania tarehe ambayo tunatangaziwa na mitandao ya simu kuwa watazima line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole tukio litabadilishwa kutoka kufungia line mpaka kutumbuliwa mtu.
Habari zenu wanajamii,
Namshukuru Mungu amenibariki na kupata vingi navyomiliki ambavyo havina mipaka wala pesa isiyoweza kuvinunua kuliko vingi nilivyonavyo ambavyo vinamipaka ambavyo pesa inaweza kuvinunua,,, imefika kipindi nautaman uzee.
Japo umri wngu bado sijafikisha hata miaka 40 lakini...
Mapenzi halisi yapo, wachache wamegusa kuonja na kuona mapenzi halisi, lakini it’s fate kama ilivyo kwa mambo mengine kwenye maisha kama elimu, afya njema, ustawi katika uchumi, kukubalika katika jamii( kibali machoni pa watu) si kila mtu anabahatika kupata.
Mtoto anakuja katika mazingira mengi. Wengi wangependa wazaliwe au wazae kwenye ndoa. Kuna wengine humuomba mume wa mtu azae naye tu kwakuwa anahitaji mtoto.
Wengine ni one night stand, mlienda field huko baridi ikawapiga mkafunga ndoa ya dakika kadhaa. Wengine ni michepuko ikatokea mimba...
Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda halafu yeye hana mpango na wewe. Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore.
Ukiwa peke yako unakuwa unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio...
Katika miaka ya hivi karibuni watanzania walio wengi wanaonekana kuelemea upande wa sanaa katika kila kitu.Sanaa ipendwayo zaidi siyo ile ya uchongaji vinyago na uchoraji vibonzo ,La ! bali ni kuimba na kucheza muziki na kubwatuka kwenye maigizo. Fedha nyingi za masikini na matajiri zinaishia...
Naandika haya nikitambua kwamba kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake kwa mujibu wa mtazamo na uelewa wake."Kuwa na uwezo au haki ya kumpiga mtu hakukupi haki au uwezo wa kumzuia kulia"Huu ni msemo wa wenye hekima wengi.
Ni wajibu wa serikali na viongozi wote wa serikali kuhakikisha kwamba raia...
Nashangaa tunashindwa sana kumtrace mtu alipo mpaka kuwaita unaowahisi uwatese kujua fulani ni nani?
Mifumo ya kisayansi na teknolojia haijatumiwa vema na Majeshi yetu,
Hii ni ama walio na nafasi hizo walizipata kwa bahati au teknolojia yetu iko chini sana,
Unamkamata mtu umtese akupe habari...
Ni jambo gani linakukera sana kama umekaa jirani na mtu au mwenza linakukera?
Mimi yangu ni haya:
1. Nimekaa jirani na wewe halafu uanze kupekenyua pua kwa vidole aisee hii inanikera sana. Ukifanya hivyo halafu bahati mbaya uniguse lazima nikuchenjie maana inanikera kuliko maelezo.
2. Lingine...
Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia...
Utakuta mtu anajitolea hewa chafu ndani mwake tena mara nyingi tu na hata hachukizwi na harufu yake lakini kosa afanye mtu mwingine atachukia kweli.
Utakuta mtu anajichezea tu kikwapa chake na kunusa kabisa. Kosa asikie kiharufu cha kwapa ya mwenzie.
Utakuta mtu uchi (ashakum si matusi) wake...
Awali ya yote napenda kukiri kwamba sijatumwa wala kutumika na yeyote kuandika juu ya hii mada, ni maoni na mtazamo wangu binafsi na pengine ni mtazamo wa wengine wengi wanaomtazama Lowassa kama ninavyomtazama mimi.
Katika ulimwengu wa siasa, jambo dogo linaweza kujadiliwa kwa marefu na mapana...
Leo tuje kwenye maisha binafsi ya wasanii wetu nje ya mziki wao Tokea diamond awe na uhusiano na tanasha, mondi ametulia sana usikii sijui katoa na Nani Nampa pongezi tanasha kwa kumtuliza mondi maana mondi kiukweli kweli alizidisha kuchepuka hata kama ni mwanaume sio kwa vile.
Tanasha ni mtu...
Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Kabudi ametoa tafsiri ya jina la John kwa mujibu wa Biblia kuwa ni mtu aliyependelewa na Mungu wa mbinguni na kupewa baraka zote.
Tafsiri hii imetolewa na Prof Kabudi mbele ya Rais Magufuli, nami Johnthebaptist nakubaliana na huyu mzee wangu wa Kanisa pale St Alban...
Aman iwe nanyi wakuu
Rais Magufuli amedai kuwa licha ya mashinikizo mengi kutoka kila pande lakini yeye ataondoka madarakani kwa mujibu wa katiba ya CCM na nchi wala hataongeza miaka maana kazi ya Urais ni ngumu sana.
Amedai kuna watanzania wengi tu ndani ya CCM wenye kuweza kuongoza nchi...
Watu wanasema suala la haki ya dhamana ni suala la katiba, hapana, mie napinga kwa nguvu zote kwamba hili ni suala serikali inapaswa kulishughulikia mara moja kwa sababu lina ukosefu mkubwa wa haki za binadamu na uonevu kwa wananchi.
Suala la kuwa na makosa ambayo eti hayana dhamana ni uonevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.