Uchaguzi 2020 Kwa namna Arusha ilivyotaabika, kwa sasa tunahitaji Monoban awe mbunge wa Arusha

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Oct 23, 2016
2,044
3,644
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
 
Mkuu, unazungumzia uwanja wa ndege wa kana kwamba huko huduma zote za kijamii mnazo na zinatosheleza!
 
Haya tumekuelewa kwamba unataka Monaban awe mbunge wa Arusha mjini in (Jiwe's Voice)
 
Mleta mada una haki ya kumpigia chapuo Monaban au hata yeyote wa CCM.

Huna uhalali kusema uongo kuhusu maandamano na vurugu. Yaani unataka kumvisha Lema lawama za mauaji ya miaka ya Kikwete?? Kama mauaji yanakusikitisha - vipi mauaji ya Kibiti na wapinzani wengi sehemu tofauti za nchi?

Huhitaji mbunge wa CCM. Unahitaji maji, umeme, ajira, elimu bora nk. Hivi unafahamu kuna maeneo hii hii hayajawahi kushikwa na wapinzani lakini maendeleo duni kabisa??
 
Ili iweje we huutaki ubunge
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Umeandika hivi kwasababu umewezeshwa na sio kwa utashi wa akili na nafsi yako! Njaa na baridi ya Arusha vimechangia pakubwa!
Lema hatozi Kodi kwa yeyote Bali huchangia mawazo yenye kuonyesha mahitaji ya wanaarusha ili mkusanya Kodi azielekeze Kodi hizo kutatua keep alizoziwasilisha!
Kumnanga Lema kuwa hajasaidia ilihali wao serikali wanakusanya Kodi nyingi kutoka kwenye vyanzo vya utalii Arusha bila kuboresha vyanzo hivyo ni uonezi usiovumilika na unahitaji kumuombea msamaha kwa kumchafua!
Rejea kauli ya mwenyekiti wa uvccm akiwa Arusha alisema kuwa majimbo yanayoongozwa na upinzani yasahau miradi ya maendeleo. Hukushtuka Wala kulipinga hili na kuiona ubaguzi mnaofanyiwa huku mkilazimishwa kulipa Kodi ambazo zinaelekezwa chato badala ya Arusha!
Kwa maana nyingine ni kuwa wewe huna tofauti na mavi ya popo kwani huna faida Wala msaada wowote wa kukusaidia binafsi zaidi unawapigania wengine wanaokushibisha!
Hizi ni siasa za majitaka zinazolididimiza taifa na hazina nafasi Tena kwa kizazi hiki. Kajipange I upya kwani Arusha wanajitambua na kujielewa na kujua wanataka Nini na kwa wakati gani! Ukuwadi huuwezi!
 
Muda ni sasa wa kumundoa huyo msumbufu Lema hapo Arusha, tupumue kidogo.
 
Huenda Gambo akajitosa kuwania jimbo, kaa mkao wa mabadiliko.
 
Umeandika hivi kwasababu umewezeshwa na sio kwa utashi wa akili na nafsi yako! Njaa na baridi ya Arusha vimechangia pakubwa!
Lema hatozi Kodi kwa yeyote Bali huchangia mawazo yenye kuonyesha mahitaji ya wanaarusha ili mkusanya Kodi azielekeze Kodi hizo kutatua keep alizoziwasilisha!
Kumnanga Lema kuwa hajasaidia ilihali wao serikali wanakusanya Kodi nyingi kutoka kwenye vyanzo vya utalii Arusha bila kuboresha vyanzo hivyo ni uonezi usiovumilika na unahitaji kumuombea msamaha kwa kumchafua!
Rejea kauli ya mwenyekiti wa uvccm akiwa Arusha alisema kuwa majimbo yanayoongozwa na upinzani yasahau miradi ya maendeleo. Hukushtuka Wala kulipinga hili na kuiona ubaguzi mnaofanyiwa huku mkilazimishwa kulipa Kodi ambazo zinaelekezwa chato badala ya Arusha!
Kwa maana nyingine ni kuwa wewe huna tofauti na mavi ya popo kwani huna faida Wala msaada wowote wa kukusaidia binafsi zaidi unawapigania wengine wanaokushibisha!
Hizi ni siasa za majitaka zinazolididimiza taifa na hazina nafasi Tena kwa kizazi hiki. Kajipange I upya kwani Arusha wanajitambua na kujielewa na kujua wanataka Nini na kwa wakati gani! Ukuwadi huuwezi!
Ningekushauri huu muda unaotumia kunijibu,ungetumia kujifunza kuandika na kupanga hoja vizuri.
Ila kwasababu,akili yako na ya Lema zinafikiri at the same line sina haja ya kubishana sana na mtu kama wewe.
Pamoja na kauli hizo kutoka kwa viongozi mbalimbali kuhusu kutokupeleka miradi ya maendeleo kwenye majimbo ya upinzani.

Lema ameplay role gani...yakuonyesha anamawazo chanja aliyoyatoa bungeni kwa maslahi ya mkoa wa Arusha...angekuwa anafanyahayo maandamano kutetea hoja zake anazozitoa bungeni zenye maslahi na mkoa huu at least...ni mradi gani aliomba bungeni kwa maslahi ya Arusha ikakataliwa na bunge au na serikali.

Kusema imesemekata majimbo ya upizani wasahau miradi ya maendeleo na kuishia hapo haitosha..sema ni mradi gani ulipendekeza bungeni kwa ajili ya jimbo lako,ikakataliwa.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom