mtu

  1. S

    Kama hamtendi haki,watu watashirikiana na yeyote anayeweza kuwasaidia kupata haki hata kama mtu huyo atakuwa ni Ibilisi

    Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu. Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki, alafu cha ajabu, nyie ndio mnakuwa wa...
  2. Kibosho1

    Kijana una miaka 30 halafu unadai hujapata mtu wa kuoa? Utakuwa na tatizo sio bure

    Wandugu natumai wote wazima. Kama kichwa kinavyoeleza, una umri wa miaka 30 unataka kuoa/lakini hujapata mwenza, bila kupepesa utakuwa na matatizo sio bure. Jichunguze kasoro zako sehemu hizi, ukikosa niite mchawi Kiakili Kiafya Kimtazamo Kiitikadi. Sasa ili muamini ninachosema kuwa ni...
  3. Dr am 4 real PhD

    Kuna mtu anae wafahamu makazi investment

    Refer heading above, Kuna Hawa jamaa wanaji ita makazi investment Wana project za kuuza plot Kigamboni Kiluvya Chanika Kuna yeyote mwenye abc Kuhusu Hawa jamaa Wapo ki halali mfano mtu akilipa 30% Then analipa kidogo kidogo KWA miez minane Kuna mtu yeyote amewai kununua ENEO au anazo...
  4. B

    Kitambulisho cha mjasiriamali kumsaidia mtu kupata mkopo. Je, ni kweli au?

    oi
  5. D

    GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa "Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba...
  6. B

    Thamani ya Uhai wa Mtu yaweza linganishwa na Nafasi ya Udiwani?

    Tunapoteza kijana wetu, bila kujali chama anachotoka tunapaswa kumlilia na kulia na wauaji. Kama anavyoumia mzazi wa kijana huyu ndivyo utakavyoumia kiongozi wa Jeshi la Polisi au kiongozi wa kisiasa pale utakapompoteza mpendo wako. Namna nafsi ya kiumbe flani itakavyokuelekeza kupindisha haki...
  7. Zacht

    Sheria ambazo hazijaandikwa lakini kila mtu anapaswa kujua na kuzifuata

    1. Usizungumze na mtu aliyevaa earphones Kimsingi unapoteza wakati wako. 2. Usizungumze wakati wa kutafuna au kula. 3.Usiweke picha zako kwenye mitandao ya kijamii wakati umetoa ombi la likizo kazin kuhusu afya yako ya mwili 4. Usitumie "k, hmm" katika mazungumzo yako(chatting)...
  8. W

    GE2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi...
  9. Analogia Malenga

    GE2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC: Watanzania hawataki mtu atakayeuza madini yao kwa wageni nje

    Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah! Amesema watanzania hawataki viongozi watakaochukua madini yao na kwenda kuyauza kwa wageni nje, watanzania wanataka viongozi watakaotetea...
  10. Cannabis

    Je, kanuni na sheria za Uchaguzi kwa taifa letu zinaruhusu mtu mwenye uraia pacha kugombea nafasi nyeti ya urais?

    Wakuu leo katika press conference ya Ndugu Humphrey PolePole nimemsikia akisema kwamba ana taarifa kwamba kuna mgombea wa Urais ameshapata uraia wa nchi nyingine, ndio maana anachochea watu kufanya vurugu baada ya uchaguzi. Je, sheria na kanuni za uchaguzi mkuu wa nchi yetu zinaruhusu mtu aliye...
  11. lee Vladimir cleef

    Hivi Unawezaje kutomchagua mtu Kama huyu.

    Tangu utoto wake amekua akipigania haki, Aliwatetaa watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia,kupisha uchimbaji madini. Aliwatetaa watu ambao ndugu zao walizikwa hai,ili wapate Haki zao, Aliwatetaa waliofungwa watu zaidi ya 400 waliofungwa kionevu,kiss mgogoro wa wawekezaji wa madini,wengi...
  12. sky soldier

    Nawezaje kuona mada zote za mtu wa humu JF kama zamani?

    Nakumbuka zamani mfano nikitaka kuona nyuzi za member fulani humu jamiiforums naminya profile yake nakuta kuna kitufe cha kuangalia threads zake zote. Ila baada ya kile kipindi JamiiForums kulinda taarifa za watu zisionekane kama email waliyojisajilia basi hii ishu ikabana hadi kusiwe na ile...
  13. Planett

    Sometimes mtu akikushusha muoneshe jeuri

    Wakuu mnakumbuka mwaka flani Jay-Z alikua nomenated kwenye cartegories 8 kwenye tuzo za GRAMMY lakini mwisho wa siku akaambulia zero (sifuri) yaani 0/8? Naona GRAMMY walikusudia kumdhalilisha Jay-Z lakini unajua Jay-Z mwenyewe alifanya nini kuonesha kwamba kwake ile haikua big issue? Kwanza...
  14. Samia atosha tukutane2030

    GE2020 Wallah siwezi kumpigia kura mtu mwenye kauli kama hizi, labda nichanganyikiwe

    Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
  15. K

    GE2020 Kwa press hii, Polepole anakivuruga chama, atafutwe mtu mwingine wa kufanya press

    Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa. CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama...
  16. K

    Ukipitishwa kuwa mgombea Urais maana yake una sifa ya kuwa Rais. Acheni propaganda za mtu makini

    Watu wa chama Tawala jengeni hoja mkiwashawishi wananchi wawachague, wao wanajua Nani Ni makini na Nani siyo makini. Mkikosa kutambua sifa za mgombea Urais Ni zipi msitulazimishe kwa sifa ambazo azikuandikwa, sifa ya makini sijui mzoefu subirini iandikwe kwenye sheria lakini Kama haipo sisi...
  17. Miss Zomboko

    Majaliwa: Kiti cha Urais sio mchezo, kinahitaji mtu makini

    MJUMBE wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa amesema kiti cha urais siyo cha mchezo, kinahitaji mtu makini. “Uongozi wa nchi siyo jambo la mchezo, linataka kiongozi makini, kiongozi anayetetea rasilmali na anayetetea wanyonge dhidi ya rushwa na ufisadi,” amesema...
  18. Pastory Kimaryo

    Hiv mtu akisema yeye ni virgo, anamaanisha nini?

    Hiv mtu akisema yeye ni virgo, anamaanisha nini?
  19. M

    Video: Mtu mweusi maskini akipata hela nyingi anakuwa limbukeni

    Inakuwaje wanaJF! Ni ulimbukeni kujirokodi ama kupost I na mihela mingi. It is a very sad display and lack of humanity and dignity.
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Asikudanganye mtu, "mtoto wa Nyoka ni Nyoka"

    "MTOTO WA NYOKA NI NYOKA" Na, Robert Heriel Panya huzaa panya Paka huzaa paka Mbwa huzaa mbwa.,.....n.k Mtoto wa nyoka ni nyoka, wahenga walisema kisha wakaongezea, maji hufuata mkondo. Baadaye Yesu wa Nazareth akasema; huwezi chuma tini kwenye zabibu" Hii ni kusema, muembe huzaa maembe...
Back
Top Bottom