Tangu utoto wake amekua akipigania haki,
Aliwatetaa watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia,kupisha uchimbaji madini.
Aliwatetaa watu ambao ndugu zao walizikwa hai,ili wapate Haki zao,
Aliwatetaa waliofungwa watu zaidi ya 400 waliofungwa kionevu,kiss mgogoro wa wawekezaji wa madini,wengi...