Chadema: Mtu akishakufa hatupaswi kujadili mabaya yake bali tunajadili mazuri yake ili tuyaendeleze

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,867
141,804
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha CHADEMA katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.

Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi mazuri aliyotuachia ikiwemo mapambano ya rushwa na ufisadi, ulinzi wa rasilimali, nidhamu serikalini na dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila.

Chanzo: ITV habari

RIP Magufuli!
 
Mnataka kutuambia hata Hitler alivyokuwa muuaji tusijadili ukatili wake kisa tu alijenga taifa imara la ujerumani kiuchumi?
Adolf Hitler umeenda mbali, je jirani yetu Iddi Amin Dada, mbona anatukanwa na kukumbukwa kwa mabaya yake tu kila kukicha na sio mazuri yake.

johnthebaptist dogo, leo utakua umesahau kumeza zile dawa za milembe ulizopewa.
 
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha Chadema katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.

Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi maxuri aliyotuachia ikiwemo mapambano ya rushwa na ufisadi, ulinzi wa rasilimali, nidhamu serikalini na dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila.

Source ITV habari

RIP Magufuli!

Sasa kulikuwa hakuna room ya kudiscuss mabaya wakati yupo hai na hata ukionekana unasema mabaya basi bshite atatuma genge lake la wahuni kuja kukuteka.
 
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha Chadema katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.

Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi maxuri aliyotuachia ikiwemo mapambano ya rushwa na ufisadi, ulinzi wa rasilimali, nidhamu serikalini na dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila.

Source ITV habari

RIP Magufuli!
Wataalamu wanasema kuchagua kuacha kuchambua kwa kina na kujifunza mabaya yaliyopita ni kujifurahisha kwa muda mfupi. Ila tukipitia na kuchambua yote mabaya na mazuri basi tunajijengea jamii itakayokuwa bora kwa muda mrefu ambayo itaepuka yale mabaya yaliyojadiliwa na kuhifadhiwa vizuri ktk historia ya jamii hiyo.
Maana kufunika maovu ni kukaribisha mdhalimu kujitokeza siku za usoni. Hata vitabu vya imani kwa makusudi vimehifadhi mabaya na mazuri ktk vitabu vyao ili kuwafunua kiakili waumini wake. Ndani ya vitabu vya imani kumeandikwa hadithi na simulizi za shetani, uchawi, njama ovu, utapeli, mama kupanga njama za urithi na mwanae, Samsoni & Delila, utawala uliofitinika, uzinzi, umalaya, vita, watoza ushuru, wanyanganyi na majambazi n.k ili kuwajenga waumini wake vizuri kujua mema na mabaya.


People who block out unpleasant memories or issues may enjoy short-term gains but emotionally detaching themselves causes long-term consequences, according to a University of Michigan psychology researcher.20 Nov 2007
 
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha Chadema katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.

Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi maxuri aliyotuachia ikiwemo mapambano ya rushwa na ufisadi, ulinzi wa rasilimali, nidhamu serikalini na dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila.

Source ITV habari

RIP Magufuli!

Hitler amekufa, huwa ànajadiliwa vizuri?
 
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha Chadema katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.

Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi maxuri aliyotuachia ikiwemo mapambano ya rushwa na ufisadi, ulinzi wa rasilimali, nidhamu serikalini na dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila.

Source ITV habari

RIP Magufuli!
Siyo kwa kuwa amefariki tu, hivyo ndivyo alivyokuwa dad siyo huo uzushi waliokuwa wanamzushia! Alafu siku nyingine unapoandika usiandike kichoko kwa kuweka x sehemu ya z mfyuuuuuu 😡!
 
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha Chadema katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.

Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi maxuri aliyotuachia ikiwemo mapambano ya rushwa na ufisadi, ulinzi wa rasilimali, nidhamu serikalini na dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila.

Source ITV habari

RIP Magufuli!
Siyo kwa kuwa amefariki tu, hivyo ndivyo alivyokuwa dad siyo huo uzushi waliokuwa wanamzushia! Alafu siku nyingine unapoandika usiandike kichoko kwa kuweka x sehemu ya z mfyuuuuuu 😡!
 
Mchungaji Msigwa ambaye amedai anaiwakilisha Chadema katika mazishi ya kijeshi ya hayati Magufuli kule Chato amesema mtu akifa kinachopaswa kujadiliwa ni mazuri aliyoyatenda ili yaendelexwe na kamwe si mabaya yake.

Mtumishi wa Mungu mchungaji Msigwa amesema hayati Magufuli ana mengi maxuri aliyotuachia ikiwemo mapambano ya rushwa na ufisadi, ulinzi wa rasilimali, nidhamu serikalini na dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila.

Source ITV habari

RIP Magufuli!
Hiyo ni kanuni ya wapi?
 
Back
Top Bottom