Mwanamama mtetezi wa siku nyingi wa haki za binadamu hususan za wanawake mama Kijo Bisimba, amelaani vikali kauli za Rais Magufuli anazozitoa mara kwa mara juu ya wanawake.
Akihojiwa na redio moja ya nje, Mama Bisimba amesema, kauli hizo za Magufuli zisichukuliwe kimizaha mizaha kwa sababu hizo...
Heshima kwenu wakuu" system"
Sasa ni dhahili nyie waendeleazaji na waongozaji wa Taifa mmeona ukweli ulipo. Sasa mnaona nini watanzania wanataka. Ninyi mna macho na masikio mawili mawili mnasikia na kuona kuliko mtu yeyote.
Mwaka 2015 mlitusaidia kuondokana na Lowasa japo alionekana kuwa na...
MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk. Rehema Nchimbi amesema serikali haitasita kumchukulia hatua mtu yeyote atakayehatarisha amani katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.
Nchimbi ambaye alikuwa mgeni rasmi aliyasema hayo alipohutubia wananchi, wazazi na wanafunzi wakati wa sherehe za mahafali ya...
Mtu unaenda unapiga maji yako fresh baada ya kujichanga changa karibia week nzima na kubana bajeti usawa huu mbovu. Unatoa pesa unasubiri change.
Hapo ndo utaona jinsi barmaid anavyo dribble na change yako. Anajizungusha zungusha na kujichetua na change kama Bernard Morrison. Unamwona tu kuwa...
Upcoming Elections in Africa
The United States is committed to supporting free, fair, inclusive elections. The conduct of elections is important not only for Africans, but also for defenders of democracy around the world. We believe all sides should participate peacefully in the democratic...
Kama ilivyo kawaida kwamba binadamu tupo tofauti socially, economically, physically, in religion na pia in cultural tupo tofauti. Kwa maana hiyo mionekano yetu inaweza ikasababisha mtu aijue tabia ya mtu fulani.
Kwa experience yako ni mavazi gani au muonekano upi humfanya mtu azijue tabia za...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu vijana watanzania;
Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.
Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu...
MTU DHAIFU HUTAFUTA UPENDELEO; JE LISU ANAPAMBANA NA MTU DHAIFU?
Na, Robert Heriel
Kikawaida watu dhaifu hutafuta kupendelewa, hutafuta dezo kwa watu. Pia kikawaida watu dhaifu ndio hupewa upendeleo na huukubali huo upendeleo kwa kuwa wanajua hawastahili.
Hii ni tofauti na mtu hodari. Mtu...
Mzarau chake mtumwa na ndivyo walivyo CCM,wamejisahaulisha na kuuficha ukweli wa msemo wa kiswahili ..usemao Mtu mzima dawa..tunawaona CCM katika ubora wao wanashindwa kuelewa hekima za mtu mzima kwa mtizamo wao hata Nyerere hafai ndipo Maria Nyerere alipowatemea mate na kuwapa neno lililowapa...
Nilichojifunza hapo ni kwamba Mh Tundu Lissu au chadema mna ungomvi binafsi na Mh JPM.
Hivi kukataa lockdown na huku nchi jirani zikiendeleza lockdown ni kaharibu mahusiano? Come ooon! Eti rafiki yake ni Burundi tu kwa sababu nchi ya Burundi huko nako walikataa lockdown!
Labda sijakuelewa...
Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu.
Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki, alafu cha ajabu, nyie ndio mnakuwa wa...
Wandugu natumai wote wazima. Kama kichwa kinavyoeleza, una umri wa miaka 30 unataka kuoa/lakini hujapata mwenza, bila kupepesa utakuwa na matatizo sio bure.
Jichunguze kasoro zako sehemu hizi, ukikosa niite mchawi
Kiakili
Kiafya
Kimtazamo
Kiitikadi.
Sasa ili muamini ninachosema kuwa ni...
Refer heading above,
Kuna Hawa jamaa wanaji ita makazi investment Wana project za kuuza plot
Kigamboni
Kiluvya
Chanika
Kuna yeyote mwenye abc
Kuhusu Hawa jamaa
Wapo ki halali mfano mtu akilipa 30%
Then analipa kidogo kidogo KWA miez minane
Kuna mtu yeyote amewai kununua ENEO au anazo...
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba...
Tunapoteza kijana wetu, bila kujali chama anachotoka tunapaswa kumlilia na kulia na wauaji. Kama anavyoumia mzazi wa kijana huyu ndivyo utakavyoumia kiongozi wa Jeshi la Polisi au kiongozi wa kisiasa pale utakapompoteza mpendo wako.
Namna nafsi ya kiumbe flani itakavyokuelekeza kupindisha haki...
1. Usizungumze na mtu aliyevaa earphones Kimsingi unapoteza wakati wako.
2. Usizungumze wakati wa kutafuna au kula.
3.Usiweke picha zako kwenye mitandao ya kijamii wakati umetoa ombi la likizo kazin kuhusu afya yako ya mwili
4. Usitumie "k, hmm" katika mazungumzo yako(chatting)...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.