mtu

  1. Mystery

    JamiiForums Tanzania Tunakubalije Watanzania wote maisha yetu yashikiliwe na mtu mmoja?

    Hakika hotuba aliyotoa jana Rais wetu Magufuli imeniacha na huzuni kubwa, kwa kuwa nilichobaini kutokana na hotuba hiyo ni kama maisha yetu watanzania wote, tumeyaweka rehani na kiyakabidhi mikononi mwa mtu mmoja, ambaye ndiye Rais wa nchi. Katika hotuba hiyo tulimsikia Rais akikanusha vikali...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Je, zipi ni sababu za Mtu kupata shida ya akili (Dementia)?

    Ugonjwa wa Alzheimers ( Ugonjwa unaharibu kumbukumbu) ndio sababu kubwa ya shida ya akili. Kati ya 60% -80% ya watu walio na shida ya akili wana #Alzheimers Magonjwa ya upungufu wa Neva na shida za mishipa. Hali hizi huathiri mzunguko wa damu kwenye ubongo. Majeraha kwenye ubongo...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Tatizo sio chanjo ya COVID19! Tatizo chanjo imekuja kipindi cha utandawazi kila mtu ana smartphone kila mtu mjuaji

    Habari wadau, Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena mbaya zaid chanjo imekuja kipind ambacho kila mtu anamtizama mwenzake kwa jicho la mnafiki kuna...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ukifikiri kwa kina utafahamu kuwa Mtu ni hewa, Maji ni hewa; Vitu ni hewa

    Angalia vitu vyote katika maendeleo yao na mageuzi yao, hewa ni ya lazima. Michakato yote ya viumbe haiwezekani bila uwepo wa hewa. Kitalaamu hewa inaelezwa kuwa ni mkusanyiko wa gesi mbalimbali. Ukitazama, kwa mfano hewa (gesi) ya oksijeni, ambayo ni ya lazima kwa uhai wa viumbe hai, maana...
  5. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Kwanini inasemwa kuwa mshahara wa mtu ni siri?

    Wakuu kwa nini inasemwa hivyo? Hii ni duniani kote au hapa kwetu tu?
  6. F

    JamiiForums Tanzania Hizi ni miongoni mwa sababu zinazofanya kila mtu hapa sasa anatamani kuwa Mwanasiasa na hasa Mbunge!

    Sitaki kuongea mengi kuhusu suala la watu wengi hapa Tanzania sasa kutamani kufanya kazi ya siasa na hasa kuwa Mbunge. Na ukitazama vizuri utagundua kuwa hii ndo siri kubwa ya kujitokeza kwa WATIA NIA ( Wagombea Ubunge wengi katika kura za maoni za CCM mwaka jana kuvunja rekodi). Watu wengi...
  7. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kuwa mtu wa malalamiko sana ni dalili ya kukata tamaa

    Nimeishi nimejionea watu wa namna hii maongezi yao asilimia kubwa ni kulaumu na kulalamika. Hii ni dalili mbovu na ni mbaya mno kwani huonyesha mtu husika kuwa ni mtu ambae ameshakata tamaa na kilichobaki ni kulaumu na kulalamika kwa mambo mengine ambayo hayana nyuma wala mbele! Inawezakuwa ni...
  8. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Askofu avuliwa nafasi za kuhudumia Kanisa kutokana na kashfa ya kutoka kimapenzi na mke wa mtu

    Kanisa la Kianglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji wa majukumu ya uaskofu pamoja na kuzuiwa kuwakilisha kanisa hilo kabisa kwasababu ya madai ya uzinzi. Bwana Ntagali alistaafu mwaka jana Machi baada ya kuhudumu kwa...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Si kila mtu ni wa kumueleza shida zako, wengine hufurahia moyoni

    Hata kama una shida au changamoto kiasi gani, si vizuri kumueleza kila mtu shida zako kwani, huwa wengine wanafurahia mapito yako(wanafiki) na hawawezi kukupa msaada wowote zaidi ya pole ya kinafiki tu.
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Waliofukuzwa CHADEMA waanza kupewa vyeo Bungeni, Grace Tendega awa Mwenyekiti wa LAAC

    Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa ( LAAC ) Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure. Bali swali kubwa ni hili , ni yupi...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Sijalipwa mshahara miezi 8 na mkataba sipewi napewa posho tu msaada jamani wapi nipeleke malalamiko?

    Habari samahani naomba kuuliza kwa mtu anae elewa hili swala kama mtu umeahidiwa mkataba na boss na hataki kutoa mwisho wa siku zaidi ya mwaka hujapewa mkataba na unapewa posho tu napo akijisikia hivi swala kama hili wapi naweza toa lalamiko na nikasaidiwa kisheria.
  12. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuweka Playstore Application yangu niliyotengeneza ili kuuza na mtu aki download pesa napataje?

    Wataalam, Nawezaje kuweka play store application yangu niliyotengeneza ili kuuza na mtu aki-download pesa napataje?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kumekucha! Mwenye Mkoa wake kaja na bonge la Mkwara na wala hatanii na Wamakonde nao wamesema wataondoka na Mtu

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameliomba Baraza la Mitihani nchini kukanusha taarifa inayosambaa mitandaoni ikisema shule kumi za mwisho kitaifa zinatoka mkoani Mtwara jambo ambalo si kweli na hivyo kuleta sintofahamu kwa mkoa na umma wa Watanzania. Taarifa: ITV Tanzania Hata hivyo Mpiga Mkwara Mkuu...
  14. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka umeanza na mazonge zonge mengi. Mtu mpaka nawaza Utaishaje. Mapema tu naanza umizwa roho

    Mwaka umeanza na mazonge mengi sana. Hapa tayari naona kama nimechunwa ngozi na kuanikwa juani nikauke. Yaani binadamu unawaamini wanakuja kukutenda vibaya namna hii? Nimelia sana toka asubuhi. Hili group langu nlilianzisha toka mwaka 2012 hebu fikiria lina umri wa mtu kabisa anayejielewa...
  15. Carleen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kimaadili ni sahihi mke wa mtu kumsifia mwanaume mwingine?

    Hi guys, Leo hata sina mengi naomba tu kuuliza hili, tunafahamu kuwa wanaume huwa mabingwa wa kutusifia wanawake, uwe umependeza, unanukia vizuri, au vyovyote vile inavyofaa kiheshima na huwa hawatazami huyu ni mke wa mtu ama mchumba wa mtu, huwa wana appreciate tu, na hakuna atakayelishangaa...
  16. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa siitaki kwasababu kila harusi utasikia "ndoa ni uvumilivu"

    Maisha haya ni mafupi sana. Huna haja ya kujinyima raha ya nafsi yako hata kwa dakika moja. Pwani kuna msemo kuwa "raha jipe mwenyewe". Kuna watu wanadhani wakiingia kwenye hiyo jela iitwayo ndoa watapata raha, wanaishia kupata karaha lkn wanaambiwa wavulilie. Yaani waugulievndani kwa ndani...
  17. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Kijana kama unakesha usiku kucha kusoma ufaulu; kama ajira huna unatakiwa kukesha pia usiku kucha kuwaza ufanye nini upate pesa

    Vijana wengi hukesha hata usiku kucha kusoma ili wafaulu mtongani Akishamaliza vyuo na kupata vyeti hushinda tu akilalamika ajira hamna huku akikesha kuchat na simu kuhangaika kuangalia movie na ujinga mwingine wa mitandaoni. Hakeshi kuwaza na ku-brain storm afanye nini ili apate pesa. Vijana...
  18. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Big tech under the thumb: Kumkata Trump ulimi ni kielezo tosha juu ya hofu ya anachotaka kusema

    Wengi tumepigwa butwaa baada ya mitandao ya kijamii kama twitter na youtube kumfungia Raisi Donald Trump account zake huku wakati huo huo account za ma dictator zikiwa bado zinapumua bila bugudha yoyote. Hali hii imeleta tafsiri ya wazi kwamba mitandao hii ya kijamii ina nguvu kuliko taasisi...
  19. Z

    JamiiForums Tanzania Mtu aliyeingia nchini kinyume cha utaratibu (bila vibali) anaweza pata haki ya kudhaminiwa?

    Wadau naomba kujua ni utalatibu gani wa ki haki na kisheria unaoweza kutumika ili uweze kumsaidia mtu aliedakwa kwa kuingia nchini bila kibali Ahsante
  20. Z

    JamiiForums Tanzania Mtu kama ni mkimbizi anaruhusiwa kuendelea kujihusisha na masuala ya nchi yake?

    Nauliza tu maana naona wanaojiita wakimbizi wa kisiasa wakiendelea kujihusisha na masuala ya nchi yetu. Sheria inayohusu masuala ya wakimbizi inasemaje?
Back
Top Bottom