Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,485
- 34,789
Huku penzi lao likiwa limeghubikwa na mikiki mikiki ya hapa na pale hata hivyo mwanadada huyo aisyeishiwa na vimbwanga ameonyesha kuwa yupo pamoja na Rayvann Kwa shida na Raha .....
Kupitia mtandao wa Snapchat Paula alipost picha akiwa ameibusu nguo inayodaiwa ni ya Rayvann na kuandika ujumbe" WE LOVE, WE FIGHT AND LOVE AGAIN"
Katika hatua nyingine , Paula anatuhumiwa kama central figure wa kwenye njama za kumdhalilisha Kwa kuanika hewani "nyeti" za nyota wa Bongo fleva Harmonize, mchongo ambao inasemekana architecture wake ni WCB wasafi , waliomrushia chambo konde boy naye akakimeza, kesi hyo bado upelelezi wake unaendelea
Kupitia mtandao wa Snapchat Paula alipost picha akiwa ameibusu nguo inayodaiwa ni ya Rayvann na kuandika ujumbe" WE LOVE, WE FIGHT AND LOVE AGAIN"
Katika hatua nyingine , Paula anatuhumiwa kama central figure wa kwenye njama za kumdhalilisha Kwa kuanika hewani "nyeti" za nyota wa Bongo fleva Harmonize, mchongo ambao inasemekana architecture wake ni WCB wasafi , waliomrushia chambo konde boy naye akakimeza, kesi hyo bado upelelezi wake unaendelea