Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100 (1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100 (2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.