Maisha ya kuanza kujitegemea ukiwa mtu mzima Ni stress tupu vijana anzeni kujipanga from 25

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kama nikipata nafasi ya kuzungumza na kijana mwenye umri chini ya miaka 30 ningemshauli aanze maisha ya kujitegemea akiwa na miaka 25 kuliko akisubilia afike 30,35 au 40 atakuja kupata stress hatari

Kuna umri ukifika kama haukujianda kujitegemea ukiwa na umri kuanzia 25 ukishaanza kuwa mtu mzima kuanzia 30 kuja juu cha moto utakiona mbaya zaidi kama kuna watu ulikuwa unawategemea sasa hawapo Au kuna kitu ulikuwa unakitegemea kupata kama ajira Au upewe mtaji wa biashara ndipo uanze mipango ya kutoka nyumbani uanze kujitegemea itakuja kukugharimu kwani utakuja kushanga unagonga age of 40 hujiwezi wala huna unaloliweza matokeo yake unageuka mzigo wa familia ndugu jamaa na marafiki

Part one
 
Kaka mkubwa wengi tupo boti moja na tumegonga 30.
Hapa nipo geto sina hata mia mbovu so asubuh itapita mchana nako kutapita ila usiku nitatoboa cha ajabu sina stress na ninasongesha ili life zaidi ya miezi 6.
Unajua nini kaka mkubwa pride na hizi elimu za chuo ndio mchawi wetu wa stress na depression ila umri sio tatizo.
 
I think it depends na huko kujitegemea unamaanisha nini.

Binafsi naamini independence Ina maana nyingi. Kuna financial na pia kuna mental nikimaanisha kiakili.

Sasa ukisubiri independence ukiwa 25 kweli lazima ikukosti but ukiwa mentally dependent akili Yako inapevuka mapema mnooooo. Yaani ukiwa mdogo bado unakuwa na clear mind ya wapi unataka kufika na utafikaje. Unaweza pia kujisimamia kimawazo na kufanya maamuzi ya busara hata pale kuna washauribwatakuambia hiki na kiki lakini unaweza kusimama mwenyewe na kufanya uamuzi.

Huenda ukakosa financial independence ya moja kwa Moja kukuwezesha kujisimamia kwa kila idara lakini pale unapopata boost either ya wazazi, mkopo, ama salary kazini tayari inakuwa inaku push katika kujisimamia.
 
Kaka mkubwa wengi tupo boti moja na tumegonga 30.
Hapa nipo geto sina hata mia mbovu so asubuh itapita mchana nako kutapita ila usiku nitatoboa cha ajabu sina stress na ninasongesha ili life zaidi ya miezi 6.
Unajua nini kaka mkubwa pride na hizi elimu za chuo ndio mchawi wetu wa stress na depression ila umri sio tatizo.
Mchawi ni kutokukubali ulipo sasa hivi Ili ikuwezeshe kusonga mbele na kufanya maamuzi ya kubadili maisha Yako.

Sawa utatoboa, but una mikakati ipi ya kukuwezesha kuondoka point hiyo uliyopo right now na kusonga mbele?

Miezi sita iliyopita ulikuwa same spot? Nusu mwaka same routine different days?
 
I think it depends na huko kujitegemea unamaanisha nini.

Binafsi naamini independence Ina maana nyingi. Kuna financial na pia kuna mental nikimaanisha kiakili.

Sasa ukisubiri independence ukiwa 25 kweli lazima ikukosti but ukiwa mentally dependent akili Yako inapevuka mapema mnooooo. Yaani ukiwa mdogo bado unakuwa na clear mind ya wapi unataka kufika na utafikaje. Unaweza pia kujisimamia kimawazo na kufanya maamuzi ya busara hata pale kuna washauribwatakuambia hiki na kiki lakini unaweza kusimama mwenyewe na kufanya uamuzi.

Huenda ukakosa financial independence ya moja kwa Moja kukuwezesha kujisimamia kwa kila idara lakini pale unapopata boost either ya wazazi, mkopo, ama salary kazini tayari inakuwa inaku push katika kujisimamia.
Umeongea vizuri.Hasa apa Unaweza pia kujisimamia kimawazo na kufanya maamuzi ya busara hata pale kuna washauri watakuambia hiki na hiki lakini unaweza kusimama mwenyewe na kufanya uamuzi.
 
Hivi kiuhalisia unaweza "Kujitegemea"?

Hakuna mwanadamu anaweza kujitegemea mwenyewe.

Lazima uwategemee na watu wengine ili uweze kuishi.
Mheshimiwa acha ujuaji basi. Sisi wengine mbona tumeelewa fresh tu!! Kwa mfano mimi hapa nilianza kujitegemea nikiwa na umri wa miaka 28!

Na wewe toa ushuhuda wako basi ili huu uzi utembee!! 😇
 
I think it depends na huko kujitegemea unamaanisha nini.

Binafsi naamini independence Ina maana nyingi. Kuna financial na pia kuna mental nikimaanisha kiakili.

Sasa ukisubiri independence ukiwa 25 kweli lazima ikukosti but ukiwa mentally dependent akili Yako inapevuka mapema mnooooo. Yaani ukiwa mdogo bado unakuwa na clear mind ya wapi unataka kufika na utafikaje. Unaweza pia kujisimamia kimawazo na kufanya maamuzi ya busara hata pale kuna washauribwatakuambia hiki na kiki lakini unaweza kusimama mwenyewe na kufanya uamuzi.

Huenda ukakosa financial independence ya moja kwa Moja kukuwezesha kujisimamia kwa kila idara lakini pale unapopata boost either ya wazazi, mkopo, ama salary kazini tayari inakuwa inaku push katika kujisimamia.
Hapa tunazungumzia financially independence maana ndio inabeba independence zote zilizobakia!🤣🤣🤣 Shukur mungu kama ulibahatika kuipata hio independence ukiwa still young! Wengi ambao familia duni walitegemea kuipata kupitia michongo ila ndio hivyo sasa ngoma ishakuwa ngumu mtaa!

Maisha haya bana..,wengi wamekwama mpaka 30’s mtu hana ramani sio kama anapenda ila wengine kick tu ya kutokea inakosekana! Angalau ujue hata mlo wako utaupata vipi vinginevyo utaondoka na kuwa unarudi kula kwenu
 
Mchawi ni kutokukubali ulipo sasa hivi Ili ikuwezeshe kusonga mbele na kufanya maamuzi ya kubadili maisha Yako.

Sawa utatoboa, but una mikakati ipi ya kukuwezesha kuondoka point hiyo uliyopo right now na kusonga mbele?

Miezi sita iliyopita ulikuwa same spot? Nusu mwaka same routine different days?
Ni kama gari imestuck.
Sijui cha kufanya nimekubali uhalisia,nimeacha life lifanye linachoweza.
 
Hapa tunazungumzia financially independence maana ndio inabeba independence zote zilizobakia!🤣🤣🤣 Shukur mungu kama ulibahatika kuipata hio independence ukiwa still young! Wengi ambao familia duni walitegemea kuipata kupitia michongo ila ndio hivyo sasa ngoma ishakuwa ngumu mtaa!

Maisha haya bana..,wengi wamekwama mpaka 30’s mtu hana ramani sio kama anapenda ila wengine kick tu ya kutokea inakosekana! Angalau ujue hata mlo wako utaupata vipi vinginevyo utaondoka na kuwa unarudi kula kwenu
Bila independence ya kichwani ya kufanya maamuzi yenye tika hiyo financial haikusaidii kitu.

Utaburuzwa into bankruptcy macho makavuu
 
Back
Top Bottom