mevikki
New Member
- May 23, 2020
- 3
- 0
Message…habari Nina tatizo la mtoto kachelewa kusimama ana mwaka na miezi hata ukimsimamisha hasimami kabisa sijui tatizo litakua nini nimeenda hospitality wakaniambi calcium iko chini ana dawa anatumia nimempeleka kwenye vipimo Nairobi wanasema hana shida daktari kaniambi nimpeleke kwenye mazoezi ndo nataka niaze baada ya corona kutulia Naomba kama Kuna mwenye utaalamu Wa ziada anielekeze asante