msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Mwanafunzi anaweza kusitishiwa mkopo kwa mazingira gani akiwa chuo?

    Naomba kujua kwa mwanafunzi mwenye mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ni mambo gani yanaweza kumfanya kusitishiwa mkopo akiwa bado chuoni. Asante.
  2. Niger: Watu 20 wafariki dunia baada ya kukanyagana wakati wakipokea msaada

    Watu 20 wanmepoteza maisha baada ya kukanyagana wakati wakipokea msaada wa Chakula na Fedha katika Mji wa Diffa huko Niger. Waliofariki ni Wanawake 15 na Watoto 5. Inadaiwa kuwa maelfu ya watu walijitokeza kupokea msaada huo uliokuwa unatolewa na Gavana Babagana Umara Zulum katika Kituo kimoja...
  3. Wale ambao tupo addicted na kuvaa cape na mizura tukutane hapa tujadili changamoto tunazokutana nazo

    Poleni na majukumu wazee wezangu To be honestly me siwezi tembea bila cape, mzura au prova kwa kifupi sijawai acha kichwa changu wazi Nilianza kuvaa mizura kiutani utani lakini asa hivi nshakua addicted siwezi tembea kichwa wazi yaani ni heri mtu anivue suruali ila sio kofia yaani nimekua...
  4. VIDEO: Jinsi ya kuitumia JamiiForums (Wageni na Wanachama)

    Wakuu, Kumekuwepo maombi toka kwa wadau wengi wakitaka kujua jinsi ya kuitumia JF mpya. Video mbili zinazoambatanishwa zinaeleza kwa ufupi jinsi ya kuitumia. Video nyingine mbili zitaongezeka katika kuongezea juu ya features mpya zitakazoongezeka JF (hivi karibuni). Kwa wale wanaoitembelea JF...
  5. Haeleweki msaada wakuu

    Kuna binti nilikuwa na mazoea nae ya kawaida tu hapa kazini napofanyia kazi kama marafiki nikimtumia messages anajibu tu vizuri bila shida, sasa tabu imeanzia hapa nilipomtongoza kwa mara ya kwanza pale nilipomuambia nampenda nimemuelewa alinijibu kwa kuuliza "serious " nikamjibu ndio yeye...
  6. Mwenye Kitabu-Ebook Makuwadi wa soko-By Chachage Msaada

    Mwenye Kitabu-Ebook Makuwadi wa soko-By Chachage Msaad
  7. Vifahamu vyeo vya askari polisi wa Tanzania na alama zake

    Kwa anayefahamu naomba msaada wa kujua ngazi ya vyeo vya polisi Kwa mfano Inspekta ni yepi majukumu yake na anatambuliwa kwa nyota au alama gani, Sajenti, Konstebo, Koplo n.k Zaidi, soma: Vyeo vya Jeshi la Polisi Tanzania kwa protocol
  8. Msaada Laptop yangu haisomi Printer nikifungua PDF na Excel file kutoa nakala ngumu

    Wasalaam, Nimepata changamoto kuna laptop imekuwa ikitumika, lakini changamoto nimeikuta ni kuwa nikijaribu kuprint document iliyo kwenye PDF &Excel inashindwa kusoma printer zilizopo. Nimejaribu kuprint kwa Word document yenyewe haina tatizo. Je, kuna shida ipi inayopelekea PDF na Excel file...
  9. Msaada: Nahitaji kuingiza WhatsApp kwenye Ipad yangu

    Wasaalamu wandugu! Jamaa yangu kaniletea iPad sijui hata model haina WhatsApp. Nahangaika namna ya kuingiza yangu jana bado inanizingua. Msaada wandugu nifanyeje ili niweke WhatsApp?
  10. Msaada: naomba kujua haya kuhusu Chuo cha VETA Arusha

    Habari wakuu? Ninanyenyekea mbele zenu bila bughudha nina shida ya mawasiliano ya VETA Hotel and Tourism Training Institute - VHTTI kwa ambaye anafahamu, na pia hata kama hauna mawasiliano naomba unijuze kwa kozi ya Tour Guide ina bweni ama ni kutwa pekee? Maombi wanaanza kutuma lini na ada...
  11. B

    Msaada wa kisheria kuhusu mikopo katika Mabenki

    Habari za maisha wote mtakaopitia hapa. Ninahitaji msaada kuhusiana na mkopo nilioufanya katika moja ya benki hapa nchini. Mie ni mwajiriwa katika manispaa ya Lindi mwaka wa sita sasa, tangu niajiriwe sikuwahi kufanya mkopo na benki yoyote hadi ilipofika mwaka jana mwezi wa nane nikalazimika...
  12. Msaada: Mzigo kuchelewa baada ya kuagiza tangu Desemba 2019

    Huu mzigo niliagiza mnamo tarehe 15 December 2019, na movement zote zilienda vizuri isipokuwa hapo ilipoishia "-Despatched to OverSeas Postal Admin (From SG/SIN to TZ/DAR) 2019-12-27 13:14:02 [GMT+8]" Hapo imekaa tangu tarehe 27-Dec-2019. Nimejaribu kwenda post na kuwapa tracking number, yule...
  13. Waangalia Movie naombeni msaada wenu

    Kuna movie niliangalia miaka kidogo imepita ila jina siikumbuki, naomba nisimulie kidogo story kisha kwa atakaeweza ifahamu naomba anisaidie kukumbuka jina la movie. Story inaanza (ntasimulia nilipoikutia tu) kwahiyo mtaniwia radhi kama nitakuwa nimejichanganya changanya. Kuna mdada mmoja...
  14. Naomba msaada au ushauri juu ya Fundi wa Nissan X-trail

    Habarini na poleni na majukumu, Ninaomba msaada/ Ushauri juu ya Tatizo la gari langu (Nissan X- trail) nimetumia hili gari zaidi ya miaka 6, shida ilijitokeza kwenye Engine nikafanya uamuzi wa kubadilisha Engine na gear box (niliweka nyingine). Baada ya kukamilisha hilo zoezi cha ajabu (shida)...
  15. Nimevumilia sana ila leo imebidi niulize, hivi mtu anakupaje msaada wa Trilioni 1.5 wakati nchini kwake kuna watu wanalala nje na kufa njaa?

    Nimekuwa najiuliza sana hili swali bila majibu ya uhakika, hivi haya mataifa yanayojiita donor countries, huwa wanatupa hii misaada kwa misingi na madhumuni yapi hasa? Na kwanini wanapotupa misaada huwa tunasainishana mikataba ya msaada? hivi huo ni msaada au tunawauzia kitu hadi tusainishane...
  16. M

    Msaada: Anahitajika mtaalamu wa kutengeneza flash uliyoharibika

    Wakuu natumaini ni wazima wote. Flash yangu ilianguka ikiwa kwenye DVD player hivo kupelekea kutokusoma. Naomba anayeweza kunirekebishia tuwasiliane.
  17. Umoja wa Ulaya (EU) waridhia kuipa Tanzania msaada wa Bilioni 132 uliokuwa umezuiwa

    Umoja wa Ulaya (EU) umekubali kuruhusu kutoa Sh132 bilioni kwa ajili ya kuchangia bajeti ya maendeleo ulizokuwa umezizuia. Uamuzi huo ulitangazwa jana baada ya Rais John Magufuli kufanya mazungumzo na balozi wa EU nchini, Manfred Fanti Ikuku jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na...
  18. Sekta ya Afya nchini kunufaika na msaada wa Dola za Marekani Milioni 600 (takriban Tsh. Trilioni 1.4) kutoka Global Fund

    Serikali ya Tanzania itanufaika na msaada wa dola za Marekani milioni 600 zitakazotolewa na Taasisi ya Global Fund mwezi Januari mwakani kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na maradhi ya Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria katika kipindi cha miaka mitatu. Ahadi hiyo imetolewa Jijini Dodoma na Mkuu wa...
  19. I

    Naomba msaada wa kisheria: Nimepandishwa cheo ila bado mshahara wa zamani

    Heshima kwenu wakuu. Naomba ushauri wa kisheria. Ninafanya kazi kampuni binafsi. hawa wanaoitwa wawekezaji. Mwaka 2018, miezi kama 18 iliyopita nilipandishwa cheo.Cha ajabu nimeendelea kulipwa mshahara uleule wa cheo cha zamani na kila nikimuambiwa muajiri wangu anachukulia poapoa. Vilevile...
  20. Usikute fedha nyingi zinazoitwa za msaada ni zile zinazoenda kwa wanaharakati!

    Tunaweza kuwa tunapewa sifa ya kuwa nchi tegemezi ya uhisani kumbe kwa kiasi kikubwa fedha hizo za uhisani zinaenda kwa NGOs za wapigaji wachache zinazofanya kazi zisizo na tija ya maendeleo endelevu. Serikali ya Magufuli inataka mikopo itakayokuja kuinua maendeleo vijijini haswa. Nashauri...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…