Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kuna tukio lilitokea Mwanza mwaka jana,kwa ufupi mwanajeshi na mgambo waliwapiga watuhumiwa, ndani ya ofisi ya kata, mmoja alifariki. Polisi walidanganya marehemu aliuwawa na wananchi.
Baadae mke wa marehemu alimuona mkuu wa mkoa,na upelelezi ukafanyika na maelezo yakachukuliwa,na kesi ilikuwa imefunguliwa. Jalada lilienda kwa mwanasheria wa mkoa.
Lakini mpaka hivi sasa watuhumiwa hawajakamatwa. Mwanasheria wa mkoa anasema ameshafungua mashitaka anasubiri watuhumiwa wakamatwe,ila Rco anawakingia kifua. Naomba msaada mwenye namba ya Dpp ili aweze kusaidia.
Baadae mke wa marehemu alimuona mkuu wa mkoa,na upelelezi ukafanyika na maelezo yakachukuliwa,na kesi ilikuwa imefunguliwa. Jalada lilienda kwa mwanasheria wa mkoa.
Lakini mpaka hivi sasa watuhumiwa hawajakamatwa. Mwanasheria wa mkoa anasema ameshafungua mashitaka anasubiri watuhumiwa wakamatwe,ila Rco anawakingia kifua. Naomba msaada mwenye namba ya Dpp ili aweze kusaidia.