Heater
Senior Member
- May 28, 2019
- 164
- 339
Kibaya zaidi ni kwamba Mwenzangu huyo anaamini kwamba ni mtoto wake na anahudumia kama baba. Mtoto anamiezi kumi ivi sasa, Natamani sana niweze kumpata lkn nashindwa ni vipi nitaweza kumpata. Natamani hata Mwanaume huyo angeujua ukweli, lkn naogopa madhara yatakayoweza kutokea baada ya kuujua ukweli.
Toka ndani ya moyo wangu ninamuwaza sana Mwanangu huyo lkn naishia kuumia tu... Maana hata huyo Mwanamke hataki Kabisa kuwasaliana na Mimi sababu mara nyingi nilikua nikimuuliza nitampataje mtoto, basi ivi sasa kaona kwamba kuendelea kuwasiliana na mm ni kujihatarishia ndoa yake.
Sijajua wenzangu mngevivaa viatu vyangu mngechukua maamuzi ya Haina gani, Tusaidiane.
Toka ndani ya moyo wangu ninamuwaza sana Mwanangu huyo lkn naishia kuumia tu... Maana hata huyo Mwanamke hataki Kabisa kuwasaliana na Mimi sababu mara nyingi nilikua nikimuuliza nitampataje mtoto, basi ivi sasa kaona kwamba kuendelea kuwasiliana na mm ni kujihatarishia ndoa yake.
Sijajua wenzangu mngevivaa viatu vyangu mngechukua maamuzi ya Haina gani, Tusaidiane.