Sukari Mine
New Member
- Dec 9, 2020
- 4
- 14
Habari zenu wanajamvi..!
Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika kada ya uchimanji madini (BsC in Mining Engineering) .
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi katika migodi anisaidie.
Nina uzoefu katika usimamiaji wa crusher na plant .
Pia nina leseni ya ulipuaji (Blasting Licence) inayotolewa na wizara madini.
Ujuzi wa Softwares kama :Ms Word,Excel ,Power Point,Scada ,AutoCAD n.k.
Asanteni sana ,Mungu awabariki.
Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika kada ya uchimanji madini (BsC in Mining Engineering) .
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi katika migodi anisaidie.
Nina uzoefu katika usimamiaji wa crusher na plant .
Pia nina leseni ya ulipuaji (Blasting Licence) inayotolewa na wizara madini.
Ujuzi wa Softwares kama :Ms Word,Excel ,Power Point,Scada ,AutoCAD n.k.
Asanteni sana ,Mungu awabariki.