EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,548
Nime-misplace Leseni yangu sasa nataka nipate TIN bila kwenye ofisi za TRA
Je, inawezekana?
Je, inawezekana?
Ipo huduma bhana, juzi mwenyewe nimepata kupitia online!Hiyo huduma haipo nenda tra iliyo karibu yako au nipe jina kamili nikuangalizie
Mpe link basiIpo huduma bhana, juzi mwenyewe nimepata kupitia online!
Aingia google TRA nenda TIN request then kama ni mtumiaji wa mtandao inaelekeza yenyewe !Mpe link basi
Mkuu ingia TRA then nenda TIN request hapo itakuelekeza kila kitu. Haiitaji darasa.Nime-misplace Leseni yangu sasa nataka nipate TIN bila kwenye ofisi za TRA
Je, inawezekana?
Asante mkuuHiyo huduma haipo nenda tra iliyo karibu yako au nipe jina kamili nikuangalizie
Msaada namna umepataIpo huduma bhana, juzi mwenyewe nimepata kupitia online !
Sio mambo ya mshahara, kwanza waajiri hawana maelekezo ya UTUMISHI so salary kama kawaMzee mshahara ndo umesha ukosa january, jaribu kuingia kwenye wavuti ya tra online, creat acc ingiza namba ya NIDA na namba ya lesen kama upo kwenye data base utaweza kucheck status na kuprint tin certificate yako, ukishindwa nenda Office ya tra iliyokaribu nawe,
Ngoja nijaribuMkuu ingia TRA then nenda TIN request hapo itakuelekeza kila kitu. Haiitaji darasa.
NIKIINGIZA NIDA bado inazingua sijui ni mtandao tu wa leoMkuu ingia TRA then nenda TIN request hapo itakuelekeza kila kitu. Haiitaji darasa.
Asante mkuu ndio napambana hapaUkifata hizi hatua kama details zako ni sahihi unaweza kuregister kwa Mara ya kwanza na kama tyr una account nadhani unafahamu jinsi ya Ku log in!View attachment 1644565View attachment 1644566View attachment 1644567View attachment 1644568
Nimeshajiandikisha hadi kufikia kubadili pwd freshAingia google TRA nenda TIN request then kama ni mtumiaji wa mtandao inaelekeza yenyewe !
Tuma screen shot tukusaidie ulipo kwama ila najua hakuna huduma ya kujua tinNimeshajiandikisha hadi kufikia kubadili pwd fresh
ishu ku-log in
nshachoka naendelea kesho
Tuma screen shot tukusaidie ulipo kwama ila najua hakuna huduma ya kujua tin ninayotumia
natumia UC brouser nikiingia TRA wanalazimisha ni-update cromeTuma screen shot tukusaidie ulipo kwama ila najua hakuna huduma ya kujua tin
Tumia crome boss
Crome ina option wa screen shot?Tumia crome boss
"""Your login attempt was not successful. Please try again.""""Crome ina option wa screen shot?