tofalikazi
New Member
- Nov 24, 2020
- 3
- 2
Habari wana JF,
Naomba msaada kueleweshwa juu ya jambo hili kuna ajali iliyo husisha bajaji 2 za kubeba abiria moja ikiwa inatokea upande A na nyingine upande B, zilipokuwa zimesogeleana kupishana iliyo kuwa ikitoka upande B ikapata ajali ya kugonga punda na kumrusha mpaka upande wa pili wa bajaji A hivyo kusababisha bajaji A nayenyewe kuparamia punda na kupinduka na abiria wa bajaji A kuumia vibaya kwa kuvunjika mkono na miguu yote miwili.
Baada ya kufatilia madereva wote wa bajai hawakuwa na leseni.
MSAADA WA MAWAZO KISHERIA
Ni mmiliki yupi anayetakiwa kumhudumia abiria mpaka kupona kisheria na nifidia ipi kwa mgojwa atatakiwa kulipwa baada ya kuwa amepona.
Naomba msaada kueleweshwa juu ya jambo hili kuna ajali iliyo husisha bajaji 2 za kubeba abiria moja ikiwa inatokea upande A na nyingine upande B, zilipokuwa zimesogeleana kupishana iliyo kuwa ikitoka upande B ikapata ajali ya kugonga punda na kumrusha mpaka upande wa pili wa bajaji A hivyo kusababisha bajaji A nayenyewe kuparamia punda na kupinduka na abiria wa bajaji A kuumia vibaya kwa kuvunjika mkono na miguu yote miwili.
Baada ya kufatilia madereva wote wa bajai hawakuwa na leseni.
MSAADA WA MAWAZO KISHERIA
Ni mmiliki yupi anayetakiwa kumhudumia abiria mpaka kupona kisheria na nifidia ipi kwa mgojwa atatakiwa kulipwa baada ya kuwa amepona.