Subiri waamke bibieJamani msaada hapa ndo napatamo ugali
Asante, sijalala kabisasubiri waamke bibie
Pole sana.Asante,sijalala kabisa
Unatumia master kadi ya mtandao gani? kama ni ya airtel delete hiyo account kisha u create nyingine baada ya hapo una add mambo yanakuwa safi tu.Jamani msaada hapa ndo napatamo ugali
Nilikua natumia ya CRDB ilivyozingua nika add ya voda nalo tatizo liko pale pale. Sasa hata nikitaka kudelete inagoma.unatumia master kadi ya mtandao gani? kama ni ya airtel delete hiyo account kisha u create nyingine baada ya hapo una add mambo yanakuwa safi tu.
Nipe process ndugu.unatumia master kadi ya mtandao gani? kama ni ya airtel delete hiyo account kisha u create nyingine baada ya hapo una add mambo yanakuwa safi tu.
Unatumia Mastercard (SIM Related) au Credit Card?
Facebook Ads Manager ipo active na katika hali nzuri?
Siku za hivi karibuni umekiuka kanuni na sheria za Facebook na Instagram?
Facebook ads ndo pia nikiifungua inaniambia maandishi kama hayo hapo.Unatumia Mastercard (SIM Related) au Credit Card?
Facebook Ads Manager ipo active na katika hali nzuri?
Siku za hivi karibuni umekiuka kanuni na sheria za Facebook na Instagram?
Nenda google, search 'Facebook overview'.Habarini ndugu zangu.
Mwenye ujuzi naomba anisaidie, account yangu ya biashara ambayo nilikua na promote products zangu ghafla inakataa inanipa ujumbe huu.
View attachment 1757599
Hakikisha Facebook Ads inakuwa activated kwa kufuata mlolongo husika. Setup up Facebook Ads kwanza.Facebook ads ndo pia nikiifungua inaniambia maandishi kama hayo hapo.
Niliformat simu hivi karibuni uwenda ndo chanzo..
Card ya mwanzo ilikua crdb
Ilivyogoma jana ndo nimeweka master ya voda nayo inaniambia ads is not active.
Mkuu nimejaribu kila mbinu.
Sijaviolate rules
Naipataje,maana hata siion nimejikuta nacreate pages kama 3.ndan ya fb mojaHakikisha Facebook Ads inakuwa activated kwa kufuata mlolongo husika. Setup up Facebook Ads kwanza.
Asante ngoja nitest hiiNenda google, search 'Facebook overview'.
Then utaingia na kulog in kwenye account yako.
Ikifunguka tafuta 'business setting'.
Then nenda kwenye 'ad account', hapo ukifuatisha hatua kadhaa utaiactivate, vilevile unaweza ukafungua 'ad acc' nyingine.
Unatumia kifaa gani, simu au kompyuta?Naipataje,maana hata siion nimejikuta nacreate pages kama 3.ndan ya fb moja
Yaaan ndo sijui naiharibu kabisa
Kadi ina elaHilo tatizo hutokea unapodaiwa na FB, then wanataka kukata hela wa nashindwa.
Hakikisha card yako ina hela kwanza then Fuata ushauri wa mdau hapo juu activate kupitia Facebook kwa account uliyolink na instagram yako itakubali.
Absolutely! Tatizo linaanza hapa then alipojaribu kubadili mfumo wa ulipaji pasi yakufahamu.Hilo tatizo hutokea unapodaiwa na FB, then wanataka kukata hela wa nashindwa.
Hakikisha card yako ina hela kwanza then Fuata ushauri wa mdau hapo juu activate kupitia Facebook kwa account uliyolink na instagram yako itakubali.