Zungweboy
JF-Expert Member
- Jun 10, 2018
- 363
- 178
Habari wadau za muda huu,
Mimi nafamilia ya watoto wawili na mke mmoja.
Mke wangu kapata ujauzito wa kumfatisha mtoto wetu wa pili.
Tatizo si kumfatisha tatizo kumfatisha mtoto akiwa na mwaka mmoja.
Tena alimpata kwa njia ya upasuaji mkubwa.
Hofu yangu je mke wangu atalajie kujifungua kwa upasuaji tena?
Na hadi muda huu mtoto afya yake sio nzuri.
Kwasababu mtoto alikua ameshatembea lakin sasa ivi hatembei wala kutamba kwa ufupi hali yake sio nzuri.
Je, nitumie njia gani kurudisha afya ya mtoto kwa haraka zaidi?
Toka mwezi wa 12 mwaka jana sipo vizuri kisaikolojia hadi sasa, nimejawa na mawazo kwa kiasi kikubwa juu ya afya ya mama na mtoto
Msaada wenu wadau kwa mawazo yenu pevu
Mimi nafamilia ya watoto wawili na mke mmoja.
Mke wangu kapata ujauzito wa kumfatisha mtoto wetu wa pili.
Tatizo si kumfatisha tatizo kumfatisha mtoto akiwa na mwaka mmoja.
Tena alimpata kwa njia ya upasuaji mkubwa.
Hofu yangu je mke wangu atalajie kujifungua kwa upasuaji tena?
Na hadi muda huu mtoto afya yake sio nzuri.
Kwasababu mtoto alikua ameshatembea lakin sasa ivi hatembei wala kutamba kwa ufupi hali yake sio nzuri.
Je, nitumie njia gani kurudisha afya ya mtoto kwa haraka zaidi?
Toka mwezi wa 12 mwaka jana sipo vizuri kisaikolojia hadi sasa, nimejawa na mawazo kwa kiasi kikubwa juu ya afya ya mama na mtoto
Msaada wenu wadau kwa mawazo yenu pevu