msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Nikifanya kazi za kuzoa taka halmashauri sitapata hasara

    Kuna hizi kazi za tenda wanatangaza sana halmashauri, ya kufanya usafi na kuzoa taka ngumu na kwenda kutupa dampo. Kazi hii kiuhalisia sio ngumu lakini ugumu unakuja kwenye malipo yaani wanataka pia ukusanye ushuru wa taka na 30% ulipe halmashauri inayobaki ya kwako, issue ngumu hapa ni kudeli...
  2. Raia mpya

    Msaada wanapouza vitu vya jumla

    Natanguliza Salaam kwenu ndugu zangu mimi ni kijana mwenzenu nahitaji kujiajiri sasa changamoto ipo sehemu wanapouza bidhaa kwa jumla hasa hizi consuming product kama pipi, biskuti miswaki nk So kwa anaefahamu anaweza niambia ni wap semehu nzuri inauzwa hizo bidhaa kwa bei ya chini maana mi...
  3. Inkotanyi 94

    Msaada: Chuo kizuri dar cha bussiness marketing and computer networking!

    wapenzi wa kuondoa ujinga na kuongeza maarifa mnisaidie napata wap chuo chenye cheti cha kuthaminika kwa kozi nimetaja! mhusika wangu amehitim f4 mwaka 2021. nisaidien wide range of choices. uzazi kazi!
  4. Vawulence

    Msaada kuhusu Dell Latitude 7480 kupoteza chaji ghafla

    Wakuu habari ya muda huu? Mwezi March nilinunua laptop aina ya Dell 7480 ikiwa mpya kabisa. Laptop yenyewe ina ram ya 8gb na processor ya iCore 7 na SSD ya 526gb. Nimekuwa nikiitumia kwa shighuli zangu za research na kuangalia muvi kidogo bila matatizo mpaka siku 5 zilizopita. Awali laptop...
  5. Ja Mara

    Nina Tatizo la "myofascial pain -Trigger point " naombeni msaada madoctor

    Nikianza na Taarifa zangu za awali. Age: 24 Jinsia: mwanaume Kuoa: Sijaoa Urefu: 5.9ft Uzito: kwa Sasa 76kg kwakawaida ni 89kg Ulemavu: Sina ulemavu Kilevi: Situmii kilevi Wala sijawai kutumia. Upande wa familia: Akuna mwenye shidaiyo au alishawai kuanao Kiujumla Hakuna. Ninapoishi kwa Sasa...
  6. Acehood

    Msaada kuhusu kozi ya kusoma

    Wakuu mdogo wangu kapata division 1 ya 9 (PCB). Kozi zipi anaweza eligible kuomba?
  7. Mmea Jr

    Msaada wa mawazo tafadhari

    Habari zenu wakuu , tafadhari naombeni msaada wa mawazo katika hili tatizo lilomkuta mdogo wangu. Moja kwa moja kwenye maada . Hapa nyumbani ninapoishi ninaishi na mdogo wangu wa kiume . Lengo la kuishi naye ni ili aweze kunisaidia katika biashara yangu ya duka nililolifungua hapa nyumbani ...
  8. raiswenu

    Msaada kuhusu refund App ya HESLB

    Nimeomba kurudishiwa kiasi cha pesa ambacho loan board walikata kimakosa, nimefuata hatua zote, baada ya kuconferm nimegundua account namba nimeikosea na hakuna option ya kuedit, Nimejaribu kupiga namba zao hazipatikani, nimejaribu ku click kwenye ile option ya online help lakini pia...
  9. D

    Msaada wa kusolve tatizo la youtube adsense

    Naomba msaada wa mtu anayeweza kusolve ilo tatizo kila nikijiunga inakataa wanajibu hivyo kama nilivyotuma. Asanteni
  10. kagombe

    Msaada au ushauri wa haraka kwa mtoto wa miaka 8 unaitajika kwa haraka

    Naenda moja kwa moja ktk hili jambo kuna mtoto wajirani yangu huyu mtoto ana miaka 8 sasa nahisi ana tatizo la kiafya au kimaumbile . Kuna matukio anayoyafanya hata wazazi wake wanashindwa kuelewa kadharika kwa majirani . 1 dogo ana tuhuma za kusimamisha uume pale anapoona hata paja la...
  11. N

    Binti yangu yupo darasa la 6 tu lakini maziwa yameshalala na yanaendelea kukua kwa kasi ya ajabu!

    Mada hapo juu yahusika. Ni binti mwenye miaka 12 tu lakini hii kasi ya ukuaji wake inanistua mno. Nilizungumza na mama yake ili amchunguze kama ameshaanza haya mambo, mama yake amemchunguza vya kutosha tu na amejiridhisha pasipo na shaka kuwa hata hajaanza. Sikumuamini mama yake, nikamtuma kwa...
  12. yamo

    Dawa ya Minyoo kwa watu wazima, ipi bora?

    Naombeni msaada wa kujua dawa ya minyoo, Nimeshatumia aina mbalimbali lakini naona Bado siijafanikiwa, Mpaka sasa nikienda haja kubwa nahisi minyoo inataka kutoka lakini hawatoki wanarudi tena tumboni. Naomba msaada wenu.
  13. jey n

    Msaada wa kupata viza ya Mexico

    Habari zenu wakuu, Nina jamaa yangu amekuwa invited na washikaji zake Mexico, anataka afahamu utaratibu wa kupata visa ya Mexico upoje kama ni mgumu kama wa Marekani au namna gani.
  14. hp4510

    Msaada kupangisha nyumba za Magomeni Kota

    Wakuu igweeee Naomba kujuzwa au kujua utaratibu wa kupanga kwenye zile nyumba za Magomeni Kota zile mpya Kama kuna mtu anakaa hapo anipe Raman alipataje nyumba pale Na mambo ya rent yako vipi? Nawasilisha
  15. K

    Gymnema inapatikana maeneo gani hapa Tanzania?

    Nimekuwa nagundua vitu vizuri lakini mara nyingi sijui kama vipo TZ. Je haya majani unayajua? Yanaitwaje kwa kiswahili? Je yapo TZ. Naomba usiongee kwa kubahatisha ningependa kupata majibu ya uhakika === Gymnema (Gymnema sylvestre) is a plant native to India and Africa with a history of use in...
  16. D

    Naomba msaada wa namna ya kuandika tangazo la upotevu wa cheti kwenye gazeti la serikali

    Habari, Ninaomba msaada wa namna ya kuandika tangazo la upotevu wa cheti kwenye gazeti la serikali
  17. E

    Msaada wa eneo la kufanyia field kuanzia Oktoba - Machi

    Msaada wa eneo la kufanyia field nipo mwaka wa pili Mzumbe course ya ujasiliamali kuanzia kuanzia Oktoba - Machi.
  18. Tall Guy fam

    Msaada: Ninakutana na changamoto hii kwenye Ajira Portal!

    Habari wakuu, Changamoto ninayokutana nayo kwenye ajira portal ni baadhi ya kazi zinafeli kuapply kwasababu ya kigezo cha degree ya kwanza (BSc). Nina Masters ya Environmental Science na Bachelor ya Environmental Conservation. Kwa mfano wanahitaji assistant lecturer wa Environmental science...
  19. H

    Msaada jinsi ya kublock hizi meseji za bahati nasibu za haya makampuni ya mawasiliano ya simu

    Habarini wanajamvi. Sijui humu ndani kama kuna mtu amewahi kushinda ama kupata hiyo bahati ya kushinda hela au magari wanayotangaza.Na sijui dhamira yao ni nini.Zimekuwa 'too much' Nani kawaambia kuwa si tunataka hizo bahati nasibu zao. Hebu tusaidiane jinsi ya kuwablock hawa...
  20. Masai wa Town

    Msaada: Naomba tofauti Kati ya academic qualifications na professional qualifications kwenye ajira portal

    Wakuu Naombeni tofauti Kati ya academic qualifications na professional qualifications na Nini napaswa ku attache kwenye ajira portal
Back
Top Bottom