msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mzee Wa Republican

    Msaada wa mawazo na uzoefu kuhusu biashara ya kukopesha pesa (Microfinance)

    Ndugu wananchi, wanabodi na great thinkers wa humu JF Salaam !! Tayari mwaka 2023 umeanza kwa kasi na kama ilivyo ada tumeendelea na pilika pilika za kusaka maisha kona mbali mbali. Katika harakati za kujikwamua kiuchumi nimefikiria kufanya biashara ya kukopesha pesa (Microfinance). Kiufupi ni...
  2. Explainer

    Msaada kuna vibali vya upigaji picha maeneo ya mijini?

    Habari wakuu. Kama kisomekavyo kichwa cha habari, binafsi nimeanzisha shughuli ya kutangaza utamaduni na maisha ya Tanzania nikitia ndani vivutio vyote, watu na kila kitu. Kwa sasa nimekumbana na changamoto nyingi ikiwemo kuzuiwa kupata picha za mnato kwenye baadhi ya maeneo ambapo kwa macho...
  3. Hemedy Jr Junior

    Wana IT naomba msaada

    Nishawai kupigiwa video call nikapokea sura alikuwa mh.Joket kweli kwenye screen nilimuona kwa macho yangu. Ila sasa huyu ni tapeli anayesumbua uko facebook watu wanalia sana make mtu akishaonda video call tiyari anaamini kabisa. But nasikia kuna program ambayao unaweza weka sura ya mtu...
  4. Saidama

    Naomba msaada juu ya jambo hili la ajabu ambalo limetuchanganya kama familia

    Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, ni jambo lililotushtua kama familia kutokana na uajabu wake. Ipo hivi, siku ya juzi tar 19 majira ya saa sita kasoro usiku nikiwa nimelala fofofo, simu yangu ambayo ilikuwa kwenye 'vibration mode' ilikuwa ikiita. Wife kwakuwa alikuwa bado hajalala akawa...
  5. Reality of heaven

    Nipo mkoani Mtwara naomba kujua upatikanaji wa mbuzi

    Habari wakuu? Mimi nipo mkoani Mtwara, nimefikiria kuanza biashara ya bucha ya mbuzi, changamoto ni upatikanaji wake! Na utaratibu wa kuanza hii biashara upoje! Naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie! Namna ya kuwasafirisha, lakini vibali vyake, na mpaka kupata leseni! Naweza kuanza halafu...
  6. EINSTEIN112

    Kufuatia ziara ya Rais Biden nchini Ukraine na kuahidi msaada zaidi wa silaha, Rais Putin anatarajia kutoa hotuba

    Putin has said, without providing any evidence, that in the west “even paedophilia is announced as a normal thing.” He says the west recognizes same sex marriage. He says “That’s fine. They’re adults. They have the right to live their lives. We are always very tolerant about this in Russia.”...
  7. Izy_Name

    Msaada: Blog yangu inanipa ujumbe nisio uelewa

    Site ni mpya nimenunua domain name kutoka godaddy ndo mara ya kwanza naiweka google search console nakutana na huu ujumbe. Maelekezo ya Youtube nimeyafuatilia lakini hayafanyi kazi naitaji msaada.
  8. A

    Naombeni msaada hapa kwa watu ambao wamewahi kukopa Bayport

    Nilichukua mkopo Bayport na nimekatwa almost 1.5milioni na nilikopa kama 2.2 milion. Saivi bado miaka minne kurejesha mkopo wote lakini sasa hivi nilitaka kulipa deni lote nashangaa kuambiwa natakiwa kulipa riba hata ya miaka minne ijayo , hivi huu utaratibu ndio ulivyo. Maana naambiwa...
  9. dongbei

    Kama unafanya kazi Mahale Mountains National Park, naomba msaada

    Habari za Leo wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ni hivi, mimi ni mdau wa tafiti za viumbe waishio porini na mambo yote yanayoendana na mambo hayo. Kuna jambo la msingi sana ningependa kufafahamu kutoka eneo Hilo la hifadhi ya wanyamapori. Nimepitia mtandaoni sijapata...
  10. N

    Msaada wa kazi wakuu

    Habari za mida wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada. Nahitaji kupata kazi yoyote ya kufanya itakayo nisadia kupata chochote kitu, yaani nipo tu kitaa, sina kazi. Pia hatakama una kazi yako unaweza nisaidia kwa kunifundisha pia, yaani mpaka sasa sina fani yoyote. Nina hali ngumu balaa. Mie...
  11. profesawaaganojipya

    Msaada: Namna ya kukagua gari used Tanzania kabla sijanunua

    Wadau nimejichanga kiasi fulani cha pesa, ingawa hakitoshi kuagiza gari used Japan lakini naweza nunua ya mkononi hapa Dar walau nitimize ndoto yangu ya kutembea nikiwa nimekaa. Naomba msaada vitu vya kukagua kwenye gari kujua kama nzima au nabambikwa, pia kama imewahi pata ajali au la...
  12. kekule benzene

    Tunafanya kazi saa moja hadi saa saa 12, Kuna watu wanataka wagome

    Standard working hours
  13. Mtu Asiyejulikana

    Msaada kwa Bwana Mdogo na Gari yake

    Anataka kubadili gearbox ATF. Automatic Trans. Fluid. Gari ni Toyota Rumion ya Mwaka 2008. Ya CC 1800 Anasema anahitaji ile yenyewe kabisa yenye ubora halisi. Haijalishi bei anataka kitu bora. Sasa aliniuliza.mimi sijawahi fikia hatua ya kubadilisha kwa gari nliyo nayo ambayo nayo ni CVT but...
  14. R

    Msaada: HP LaserJet 400 M401 PCL 6 memory low, hai print

    Inaleta onyo kuwa memory low, msaada please
  15. R

    Nahitaji msaada kutoka kwa mtu wa mamlaka za elimu

    Eti inaruhusiwa ukiwa na mtoto wa say form six sheria inaruhusu mtoto kusomea nyumbani kuja kufanya mtihai tu? Kuna mzazi anasema kwa vile shuleni hawafundishi, basi ameamua amtoe mtoto amtafutie tuition ataenda kufanya mtihani. Hii inawezekana? sheria inaruhusu?
  16. Crocodiletooth

    MSAADA: Nilipoteza risiti ya benki ya malipo ya ada. Naweza kupata kopi ili niwasilishe tena chuoni?

    Asalaam aleykum, na ijumaa kareem jamiya! Habarini, Kuna malipo nilifanya kwa chuo fulani kiasi cha shs 500,000/-mwaka jana may, utaratibu wangu ni kuwa baada ya kulipa nmb wakala, huipiga picha pay in slip na kuituma kwa muhusika naye hui print na kuiwakilisha chuoni na ndipo huruhusiwa...
  17. benzemah

    Kampeni ya Mama Samia ya msaada kisheria yazinduliwa

    Wizara ya Katiba na Sheria imezindua kampeni ya msaada wa kisheria kwa lengo la kutoa msaada wa kisheria nchi nzima kwa miaka mitatu. Kupitia katika kampeni hiyo wananchi wataelimishwa juu ya haki ya kulinda mila na desturi nchini, kupingana na mila potofu kutoka nje ya nchi na utoaji wa msaada...
  18. fundi bishoo

    Kwa anayejua jinsi ya kulipia matangazo Instagram naomba msaada wako

    Habari naomba mtu anaejua jinsi ya kulipia matangazo instagram ili kuwafikia wateja au wahitaji wa huduma ninazotoa naomba anielekeze vizuri maana sina utaalamu mkubwa kihivo. Mwaka jana nilifungua account nikapromote tangazo na likawa limepata viewers wengi sana lakn jinsi ya kuwalipa...
  19. K

    Je, mshitakiwa anaweza kuomba mahakamani ili kesi yake ihairishwe siku hiyo

    Naomba msaada wa kisheria. Ukiwa kama wewe ni mshitakiwa ambapo kesi yako imeshatajwa mara mbili na ulitokea ikahairishwa hadi muda mwengine ndo ianze kusikilizwa, ndani ya muda huo wewe hautakuwa na muda sababu ya jambo lako binafsi (sio lazima niliweke hadharan), ambalo haliwezi kukubaliwa na...
  20. K

    Mama Samia Legal Aid Campaign

    Katika kuunga Mkono jitihada za Rais Samia Suluhu kujenga Tanzania bora yenye ustawi, Wizara ya Katiba na Sheria imezindua kampeni ya Mama Samia ya msaada wa kisheria kwa lengo la kutoa msaada wa kisheria nchi nzima kwa miaka mitatu. Kampeni hiyo itaelimisha haki ya kulinda mila na desturi...
Back
Top Bottom