Joyce wohwoh
Member
- Sep 17, 2021
- 78
- 180
Habari za humu members,naombeni msaada katika hili nimejichanga hela kidogo nna mil.12 net.Sasa nataka kufanya maamuzi ya kupata usafiri wangu wa kwanza kabisa (sijawahi miliki gari)nataka gari ndogo tu itakayo nisaidia kwenye mishe zangu za hapa mjini.naombeni mawazo kwenye maamuzi yangu haya ninayotaka kufanya
1.kwa mil 12.niagize gari Vitz direct toka japan je itatosha mpaka gari inaingia barabarani I mean zile gharama zote za bandarini,bima, service je hyo mil 12 itatosha kabisa?? Ama
2.ninunue IST hapa bongo iliyo kwenye hali nzuri kwa mil 11.?Natanguliza shukrani zangu naombeni msaada wa mawazo yenu.
1.kwa mil 12.niagize gari Vitz direct toka japan je itatosha mpaka gari inaingia barabarani I mean zile gharama zote za bandarini,bima, service je hyo mil 12 itatosha kabisa?? Ama
2.ninunue IST hapa bongo iliyo kwenye hali nzuri kwa mil 11.?Natanguliza shukrani zangu naombeni msaada wa mawazo yenu.