Msaada kuhusu Ajira Portal

GIANT90

Member
Apr 16, 2015
45
22
Sorry nilituma maombi ya kazi UDSM ila wakati natuma sikuwa nimeweka profile picha, nimeweka picha deadline imeshapita.

Je, Kunaweza kukawa na shida na kusababisha nisiwe shortlisted? Msaada wadau🙏
 
IMG_20230426_063221.jpg


Rehema za Bwana ziwe nawe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom