Jimmie-19
New Member
- Mar 20, 2019
- 1
- 1
Habari za leo ndugu zangu,
Ninahitaji msaada wa ushauri na muongozo wa kujitetea ninakabiliwa na kesi ya kutengenezewa na inaaminika kama nimempiga ex wangu ambae na mtoto nae mmoja.
Mwanamke amenifanyia vituko zaidi ya vituko na sasa nimeshakuwa mahakamani mara mbili tunaenda mara ya tatu.
Kutokana na hali ilivyo siruhusiwi hata kumuona mtoto. Ninaomba ushari na mchango wa kujitetea kesi ni baada ya week mbili.
Tafadhali ninaomba mchango wa juu ili kujua stori kamili tunaweza kuwasiliana. Kesi ipo nje ya nchi sio Tanzania.
Ninahitaji msaada wa ushauri na muongozo wa kujitetea ninakabiliwa na kesi ya kutengenezewa na inaaminika kama nimempiga ex wangu ambae na mtoto nae mmoja.
Mwanamke amenifanyia vituko zaidi ya vituko na sasa nimeshakuwa mahakamani mara mbili tunaenda mara ya tatu.
Kutokana na hali ilivyo siruhusiwi hata kumuona mtoto. Ninaomba ushari na mchango wa kujitetea kesi ni baada ya week mbili.
Tafadhali ninaomba mchango wa juu ili kujua stori kamili tunaweza kuwasiliana. Kesi ipo nje ya nchi sio Tanzania.