heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,773
- 8,724
Wakuuuu kwa anayeweza kutoa msaada au connection ya kazi ya udereva.
Namwombea baba yangu. Ana leseni class D, E, G ni mzoefu wa magari miaka mingi.
Mwenye connection au maelekezo naomba msaada nimtupie mzee taulo, shukrani.
Namwombea baba yangu. Ana leseni class D, E, G ni mzoefu wa magari miaka mingi.
Mwenye connection au maelekezo naomba msaada nimtupie mzee taulo, shukrani.