Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani?

Biok

Member
Jan 17, 2023
69
134
Niliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu (mwalimu), nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili, duka la mahitaji ya nyumbani jumla na rejereja na la pili ni duka la simu,vifaa vya umeme na huduma za fedha mtandaoni (Mpesa, Tigo Pesa n.k)

Duka Moja anasimamia make wangu na la pili nimeajiri vijana watatu,NAMI nikitoka kazini huwa naingia kazini kusaidia duka mojawapo,katika kufanya kazi huko nakumbana na changamoto nyingi.

Kukosa uaminifu kwa vijana, usimamizi hafifu wa kazi,kupitia changamoto hizi naona ukuaji wa biashara ya si kama vile ninavyotegemea na hili naliona hasa kipindi Cha likizo nikiwepo mwenyewe biashara yangu huwa inaimarika sana.

KWENU WAUNGWANA: Kuna muda nawaza kusitisha ajira yangu nijikite katika biashara kwani kupitia huko ntajikwamua kiuchumi zaidi. Si Kwa kudharau ualimu la hasha kwani kupitia ualimu ndo nimepata mtaji Bali ualimu huu naona hautanisaidia kufanikiwa zaidi,huwezi kuajiri mtu akutafutie million 100 ww ukabaki unatafuta laki 6 ya ualimu.

Kila ninapofikiria kuacha kazi napata mkwamo mkubwa wa mawazo, lkn pia napata msongo mkubwa wa mawazo Kwa kutotimiza majukumu yangu ya ualimu vizuri, mara nyingi natoroka kazini kwa kifupi sitekelezi majukumu yangu ipasavyo na ni dhambi kubwa naifanya, kwa wanaoujua ualimu vizuri Ili utekeleze majukumu Yako yote hautaweza kujihusisha na shughuli zingine.

Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani,msaada tafadhari Ili nijikwamue kutoka katika hili.
 
Mkuu usiache kazi....
Me ushauri wangu namna ya kupambana na hao vijana, funga CCTV camera unganisha na internet, unaweza kuwaona vijana hapo dukani hata ukiwa huko kazini.

na wakishajua wanatazamwa na camera kidogo watakua na nidhamu hata kama wewe hupati muda wa kuwatazama.
 
Niliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu(mwalimu),nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili,duka la mahitaji ya nyumbani jumla na rejereja na la pili ni duka la simu,vifaa vya umeme na huduma za fedha mtandaoni((mpesa,tigo pesa n.k).
Duka Moja anasimamia make wangu na la pili nimeajiri vijana watatu,NAMI nikitoka kazini huwa naingia kazini kusaidia duka mojawapo,katika kufanya kazi huko nakumbana na changamoto nyingi.
Kukosa uaminifu kwa vijana,usimamizi hafifu wa kazi,kupitia changamoto hizi naona ukuaji wa biashara ya Si kama vile ninavyotegemea na hili naliona hasa kipindi Cha likizo nikiwepo mwenyewe biashara yangu huwa inaimarika sana.
KWENU WAUNGWANA;Kuna muda nawaza kusitisha ajira yangu nijikite katika biashara kwani kupitia huko ntajikwamua kiuchumi zaidi,Si Kwa kudharau ualimu la hasha kwani kupitia ualimu ndo nimepata mtaji Bali ualimu huu naona hautanisaidia kufanikiwa zaidi,huwezi kuajiri mtu akutafutie million 100 ww ukabaki unatafuta laki 6 ya ualimu.
Kila ninapofikiria kuacha kazi napata mkwamo mkubwa wa mawazo,lkn pia napata msongo mkubwa wa mawazo Kwa kutotimiza majukumu yangu ya ualimu vizuri,mara nyingi natoroka kazini Kwa kifupi sitekelezi majukumu yangu ipasavyo na ni dhambi kubwa naifanya,Kwa wanaoujua ualimu vizuri Ili utekeleze majukumu Yako yote hautaweza kujihusisha na shughuli zingine.
Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani,msaada tafadhari Ili nijikwamue kutoka katika hili
Ni wanaume wachache wenye uamuzi wakijasiri wa kuacha kazi ya serikali yenye unyonyaji, kama hauko miongoni mwahao uta shinda mitandaoni kuomba ushauri, hasa ukiwa unatoka familia masikini za wakulima kufikia maamuzi sio rahisi, mimi niliacha hiyo kazi ya kishezi mwaka 2007 sijawahi kujutia na sioni mtumishi tuliokua nae anae nizidi, labda majungu na fitna ndo wanazo nizidi........huwezi kupata maisha mazuri ukiwa mualimu wa darasani hapa Tanzania its a big joke.
 
Ni wanaume wachache wenye uamuzi wakijasiri wa kuacha kazi ya serikali yenye unyonyaji, kama hauko miingoni mwahao uta shinda mitandaoni kuomba ushauri, hasa ukiwa unatoka familia masikini za wakulima kufikia maamuzi sio rahisi, mimi niliacha hiyo kazi ya kichezi mwaka 2007 sijawahi kujutia na sioni mtumishi tuliokua nao anae nizidi, labda majungu na fitna ndo wanazo nizidi.
Amina
 
Niliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu(mwalimu),nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili,duka la mahitaji ya nyumbani jumla na rejereja na la pili ni duka la simu,vifaa vya umeme na huduma za fedha mtandaoni((mpesa,tigo pesa n.k).
Duka Moja anasimamia make wangu na la pili nimeajiri vijana watatu,NAMI nikitoka kazini huwa naingia kazini kusaidia duka mojawapo,katika kufanya kazi huko nakumbana na changamoto nyingi.
Kukosa uaminifu kwa vijana,usimamizi hafifu wa kazi,kupitia changamoto hizi naona ukuaji wa biashara ya Si kama vile ninavyotegemea na hili naliona hasa kipindi Cha likizo nikiwepo mwenyewe biashara yangu huwa inaimarika sana.
KWENU WAUNGWANA;Kuna muda nawaza kusitisha ajira yangu nijikite katika biashara kwani kupitia huko ntajikwamua kiuchumi zaidi,Si Kwa kudharau ualimu la hasha kwani kupitia ualimu ndo nimepata mtaji Bali ualimu huu naona hautanisaidia kufanikiwa zaidi,huwezi kuajiri mtu akutafutie million 100 ww ukabaki unatafuta laki 6 ya ualimu.
Kila ninapofikiria kuacha kazi napata mkwamo mkubwa wa mawazo,lkn pia napata msongo mkubwa wa mawazo Kwa kutotimiza majukumu yangu ya ualimu vizuri,mara nyingi natoroka kazini Kwa kifupi sitekelezi majukumu yangu ipasavyo na ni dhambi kubwa naifanya,Kwa wanaoujua ualimu vizuri Ili utekeleze majukumu Yako yote hautaweza kujihusisha na shughuli zingine.
Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani,msaada tafadhari Ili nijikwamue kutoka katika hili
Huo uoga wenu utawafikisha pabaya, unalipya sh 600k kwa mwezi ambao ni wasitani wa sh 20k kwa siku, na huna uhuru, utaacha je kazi yako kwa vijana inao kuingizia 50k kwa siku ambao ni 1.5m.........kama sio economic ignorance ni nini hiyo? Kisa eti nina bima ya afya foolish kwani unaugua kila siku?
 
Ngoja nitie timu nione battle ya waajiriwa sugu na waliolowea kwenye biashara....

Sema mimi naona tatizo liko kwako na sio kwa vijana..... We mwenyewe inaonyesha hauko vizuri kwenye usimamizi.... Mtu anakuletea ujinga unamuacha wakati wanaotafuta kazi ni wengi Toa hao vijana wanoleta upuuzi weka wengine

Utakuja kushtuka vijana wako wana magari na biashara kubwa kuliko wewe akili ikukae sawa
 
Ngoja nitie timu nione battle ya waajiriwa sugu na waliolowea kwenye biashara....

Sema mimi naona tatizo liko kwako na sio kwa vijana..... We mwenyewe inaonyesha hauko vizuri kwenye usimamizi.... Mtu anakuletea ujinga unamuacha wakati wanaotafuta kazi ni wengi Toa hao vijana wanoleta upuuzi weka wengine

Utakuja kushtuka vijana wako wana magari na biashara kubwa kuliko wewe akili ikukae sawa
Ilimkuta uncle wangu hii....
 
Mkuu usiache kazi....
Me ushauri wangu namna ya kupambana na hao vijana, funga CCTV camera unganisha na internet, unaweza kuwaona vijana hapo dukani hata ukiwa huko kazini.

na wakishajua wanatazamwa na camera kidogo watakua na nidhamu hata kama wewe hupati muda wa kuwatazama.
Haaahaa,huo muda wa kufuatilia every second....every minutes ni kazi pia.....
Camera husaidi Sinto fahamu zikijitokeza.....
Ali in all Muda mzuri wa kuacha kazi ni ule muda haujui hata kesho utakula nini....
Ni ngumu sana kueleweka Kwa jamii na hata wazazi, Ndugu,jamaa kaka angu aliacha kazi ya serikalini.....

Akaenda zake kukomaa na software za uhasibu kipindi hicho UKOO mzima haukumuelewa..Now umeanza kumuelewa na matunda yanaonekana.......

Huitaji kushauriwa sana fanya kile unacho kiamini........
 
Niliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu(mwalimu),nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili,duka la mahitaji ya nyumbani jumla na rejereja na la pili ni duka la simu,vifaa vya umeme na huduma za fedha mtandaoni((mpesa,tigo pesa n.k).
Duka Moja anasimamia make wangu na la pili nimeajiri vijana watatu,NAMI nikitoka kazini huwa naingia kazini kusaidia duka mojawapo,katika kufanya kazi huko nakumbana na changamoto nyingi.
Kukosa uaminifu kwa vijana,usimamizi hafifu wa kazi,kupitia changamoto hizi naona ukuaji wa biashara ya Si kama vile ninavyotegemea na hili naliona hasa kipindi Cha likizo nikiwepo mwenyewe biashara yangu huwa inaimarika sana.
KWENU WAUNGWANA;Kuna muda nawaza kusitisha ajira yangu nijikite katika biashara kwani kupitia huko ntajikwamua kiuchumi zaidi,Si Kwa kudharau ualimu la hasha kwani kupitia ualimu ndo nimepata mtaji Bali ualimu huu naona hautanisaidia kufanikiwa zaidi,huwezi kuajiri mtu akutafutie million 100 ww ukabaki unatafuta laki 6 ya ualimu.
Kila ninapofikiria kuacha kazi napata mkwamo mkubwa wa mawazo,lkn pia napata msongo mkubwa wa mawazo Kwa kutotimiza majukumu yangu ya ualimu vizuri,mara nyingi natoroka kazini Kwa kifupi sitekelezi majukumu yangu ipasavyo na ni dhambi kubwa naifanya,Kwa wanaoujua ualimu vizuri Ili utekeleze majukumu Yako yote hautaweza kujihusisha na shughuli zingine.
Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani,msaada tafadhari Ili nijikwamue kutoka katika hili
Usiache KAZI ridhika na kidogo ukipatacho
 
Ngoja nitie timu nione battle ya waajiriwa sugu na waliolowea kwenye biashara....

Sema mimi naona tatizo liko kwako na sio kwa vijana..... We mwenyewe inaonyesha hauko vizuri kwenye usimamizi.... Mtu anakuletea ujinga unamuacha wakati wanaotafuta kazi ni wengi Toa hao vijana wanoleta upuuzi weka wengine

Utakuja kushtuka vijana wako wana magari na biashara kubwa kuliko wewe akili ikukae sawa
Huwezi kupata vijana waminifu siku hizi hata awe ndugu, huyu haupo Tz wakukutegenezea pesa hapo unajidaganya achana na kuajiri watu wakati wewe hauna kazi ya maana.
 
Niliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu(mwalimu),nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili,duka la mahitaji ya nyumbani jumla na rejereja na la pili ni duka la simu,vifaa vya umeme na huduma za fedha mtandaoni((mpesa,tigo pesa n.k).
Duka Moja anasimamia make wangu na la pili nimeajiri vijana watatu,NAMI nikitoka kazini huwa naingia kazini kusaidia duka mojawapo,katika kufanya kazi huko nakumbana na changamoto nyingi.
Kukosa uaminifu kwa vijana,usimamizi hafifu wa kazi,kupitia changamoto hizi naona ukuaji wa biashara ya Si kama vile ninavyotegemea na hili naliona hasa kipindi Cha likizo nikiwepo mwenyewe biashara yangu huwa inaimarika sana.
KWENU WAUNGWANA;Kuna muda nawaza kusitisha ajira yangu nijikite katika biashara kwani kupitia huko ntajikwamua kiuchumi zaidi,Si Kwa kudharau ualimu la hasha kwani kupitia ualimu ndo nimepata mtaji Bali ualimu huu naona hautanisaidia kufanikiwa zaidi,huwezi kuajiri mtu akutafutie million 100 ww ukabaki unatafuta laki 6 ya ualimu.
Kila ninapofikiria kuacha kazi napata mkwamo mkubwa wa mawazo,lkn pia napata msongo mkubwa wa mawazo Kwa kutotimiza majukumu yangu ya ualimu vizuri,mara nyingi natoroka kazini Kwa kifupi sitekelezi majukumu yangu ipasavyo na ni dhambi kubwa naifanya,Kwa wanaoujua ualimu vizuri Ili utekeleze majukumu Yako yote hautaweza kujihusisha na shughuli zingine.
Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani,msaada tafadhari Ili nijikwamue kutoka katika hili
Labda uandike barua kwa mkurugenzi ukiomba rikizo ya mwaka bila ya kulipwa mshahara,ruhusa hii ipo kwa wafanyakazi wa serikalini hasahasa walimu
 
Ualimu ni kazi mojawapo ukiwa nunda unaishi tu. Shule ya msingi kulikuwa na mwalimu anaendesha daladala yake asubuhi ikifika saa tatu anaingia darasani amechelewa. Anafanya kazi mpaka saa saba nane hivi anashika daladala yake. Alikuwa anasumbuliwa na uongozi ila hafukuzwi, itakuwa kuna namna alikuwa anawapoza. Alivyotimiza miaka 50 sijui akastaafu akachukua hela zake sasa hivi ana biashara nzuri tu.

Kuna mwingine alikuwa videographer na anafundisha shule ya msingi. Ikitokea kazi iwe mvua liwe jua haendi kazini siku hiyo anaenda shooting. Mimi tangu nizaliwe sijawahi ona mwalimu kafukuzwa kazi
 
Ngoja nitie timu nione battle ya waajiriwa sugu na waliolowea kwenye biashara....

Sema mimi naona tatizo liko kwako na sio kwa vijana..... We mwenyewe inaonyesha hauko vizuri kwenye usimamizi.... Mtu anakuletea ujinga unamuacha wakati wanaotafuta kazi ni wengi Toa hao vijana wanoleta upuuzi weka wengine

Utakuja kushtuka vijana wako wana magari na biashara kubwa kuliko wewe akili ikukae sawa
Uko sahihi kama haupo kwenye field ya biashara ya duka unaweza kumsena mmiliki,hii ni biashara inayohitaji usimamizi wa juu sana,mfano mauzo yangu yanarange 2-3ml per day Kuna mfanya alikuwa alikuwa anachukua 15000 Kwa siku nikikuja nikamkuta amesave mil 1.5,hata maduka madogo bila mmiliki kusimamia ni hatari,off course nafukuza sana lkn haileti stability ktk biashara
 
Back
Top Bottom