msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hesabu zimekaaja hapa kati ya Daraja la Bilioni 7 Kibiti na Jengo la Abiria la Mpanda lililogharimu Bilioni 1.4?

    Jengo la abiria Mpanda (pichani) litagharimu bil 1.4 . Wakati huohuo daraja hili limetafuna bilioni 7 huko Kibiti. Yaani unahitaji majengo matano ya abiria huko Mpanda kujenga daraja moja Kibiti. Mainjinia tofauti hii inasababishwa na nini? Au kwa vile Kibiti iko jaribu na Dar? Je wananchi...
  2. Msaada wa kisheria tafadhali

    Ninaomba msaada wenu wadau, eti mtu ukishateuliwa na Wanafamilia na kuthibitishwa na mahakama kuwa msimamizi wa Mali za marehemu, inachukua muda gani kisheria kukoma katika nafasi husika?
  3. Kuzaa mapema sio kupata msaada/ suluhu za uzeeni

    KUZAA MAPEMA SIO KUPATA MSAADA/SULUHU ZA UZEENI Anaandika Robert Heriel, Kionambali. "Nazaa mapema ili nipate wakunisaidia uzeeni" Hapo ataanza kupiga hesabu, "nikifikisha miaka 35 mtoto atakuwa na miaka 10, nikifikisha 45, mtoto wangu atakuwa na 20, hapo nguvu zitakuwa zinaanza kuyoyoma...
  4. S

    Naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

    Kuna post humu jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji kwa kutumia caustic soda na salfonic acid pekee Kwa mwenye uelewa naomba atufafanulie vizuri
  5. Msaada: Namna ya kulipa ada ya kozi ya online

    Kuna kozi nataka nisome inayotolewa na Chuo kimoja Cha ujerumani. Sasa wamenielekeza namna ya kulipia ila sijaelewa maana sijawahi Kufanya International transactions. Tafadhali nisaideni. Naambatanisha na screenshot ya maelekezo yao
  6. Kwa mara ya kwanza nimesikia Tanzania wametoa msaada wa Chakula kwenda Malawi baada ya kukumbwa na Kimbunga

    It has been a long time since nisikie kuhusu kufanya Donation hasa kwa upande wa Chakula, pale hasa nchi jirani zinapopata Majanga. Nipo nasikiliza Tbc Taifa FM hapa napata habari kuwa Kesho tunaenda kuwapelekea chakula Malawi. Ahsante Mama kwa Jambo hili.🙏
  7. Mbunge wa viti Maalumu ana msaada gani kwa wananchi?

    Salamu wana Jf Matumaini yangu mama atausoma huu Uzi Kuna mbunge wa viti Maalumu wa ccm jina kapuni,bungeni ajawahi kutoa hoja za kueleweka,tunaishi nae mtaa mmoja ni mama wa makamo hivi.baada ya kupata ubunge wa kusaidiwa ana dharau Sana hata salamu hatoi tutakutana 2025 Sehemu tulikuwa...
  8. Ni application au program gani kutengeneza video Kwenye android:

    Ni application au program gani kutengeneza video Kwenye android?
  9. Msaada kuhusu kubadili vyeti NACTE

    Kwa wale tulio soma diploma miaka miwili yani non NTA levels, na kupata cheti kimoja. Je, tunaweza kupata msaada NACTE tukarudisha kile cheti tukapewa vyeti viwili kwamaana ya kila mwaka uwe na cheti chake, means tupate cha NTA level 5 na NTA level 6 badala ya cheti kimoja kinachojumuisha...
  10. Msaada kuhusu NACTE

    Naomba msaada wa uelewa kwa wale wanafunzi walio hitimu vyuo vya kati ngazi za diploma na wakawa wamepata vyeti katika mfumo wa NON NTA. Kwa maana nyingine walio soma certificate mwaka mmoja na kupata cheti kisha wakasoma diploma miaka miwili na wakapata cheti pia kimoja. Je, watu hawa...
  11. M

    Anayejua hacks au tricks za kuwin aviator games na balloon game za parimatch msaada tafathali

    Naombeni kujua hacks or any tricks za kushinda angalau kidogo zile casino games za parimatch. Hasa aviator na Ile balloon game na football game. Any tricks kwa anaejua. Niplay vipi ili lile balloon lisipasuke lifike odds za juu au wale wa kwenye football game wasianguke waplay odds za juu...
  12. Msaada wa bidhaa za kuagiza China, zinazouzika Dsm.

    Wakuu habari ya majukumu! Nimepata mfadhili anataka awe ananitumia bidhaa kutoka China, kaniambia nifanye utafiti wa bidhaa zinazouzika Tanzania. Msaada wa bidhaa na mtaji unaohitajika, natanguliza shukrani.
  13. D

    Je, ni sahihi kuchangisha watu michango kwa ajili ya kutoa msaada?

    Nimekuwa nikiona mara Nyingi watu huandaa matukio ya kuchangia watoto wanaoishi katika mazingira magumu,yatima,Wafungwa ma wagonjwa kisha kushirikisha ndugu au watu wengine kuchangia. Yaani unajikuta tu upo kwenye Kundi la Whatsap na kisha unaombwa kutoa ahadi yako kwa ajili ya tukio Husika...
  14. Msaada kuhusu kusafirisha parcel kutoka Marekani

    Salaam wakuu. Naomba kusaidiwa na yeyote humu ambaye ni mzoefu wa kusafirisha percel kutoka Marekani kuja Tanzania, kwa kutumia makampuni kama DHL na mengineyo hasa napenda kufahamu gharama za kusafirisha simu, ziko mbili kutoka Ohio Cleaveland kuja Tanzania ina gharimu kiasi gani KWA uzoefu...
  15. R

    Msaada: Document gani ya kupeleka ubalozini kama ushadi wa kurudi nchini?

    Habari wakuu. Naomba msaada kama mtu anataka kwenda nchi za umoja wa ulaya ubalozi unataka proof of willingness to return. Kwa mtu asiye na ndoa Wala ajira anaweza kuwasilisha nyaraka ipi kama uthibitisho kwamba baada ya miezi 3 atarejea tena nchini? Shukrani.
  16. M

    Nichague ipi kati ya course hizi?

    Msaada juu ya course ya water Supply Sanitation Engineering na Civil Engineering ipi ni nzuri kusoma
  17. Msaada tafadhali: Nina kibamia

    Salama wakuu Ni hivi, umri unaenda naelekea miaka 30 maumbile yangu (kichakatio) hayaridhishi(membamba na mafufupi). Yaani hata sina confidence mbele ya demu nikiwa naked. Sasa baada ya kutembelea Instagram muda mrefu na kukutana na matangazo ya kukuza mshedede nimevutiwa sana nikaona sio...
  18. Aliyeolewa akaachika miaka 7 sasa imepita ila hakupewa talaka, Anataka nimuoe. Je, naweza kumuoa?

    Naishi naye huu mwaka wa 3 bila ya ndoa. Hadithi yake ya nyuma ipo hivi " Alioelewa akiwa na miaka 17 baada ya kupewa ujauzito na uyo jamaa na wakaishi wote miaka 8 kwenye ndoa na kuzaa watoto wawili. Sababu ya kuachana uyo jamaa alianza kula madawa ya kulevya ndugu wakampeleka sober akarudi...
  19. F

    Nataka kusoma Clinical Medicine. Je, hali ya ajira ikoje?

    Nimemaliza form four, nina ufaulu wa division 1.16 Biology A Chemistry A Physics C Ninawish kusoma afya course ya clinical medicine. Je kwa hali ya ajira sasa hivi inaweza kuwa niko sahihi kusomea hiyo course? Au Kuna course gani ya diploma ni nzuri Kwa wakati huu kutokana na ufaulu niliopata?
  20. B

    Msaada tutani: Itel A58

    Msaada tutani waungwana. Hapa ni screenshot ya Simu iTel A58 - android kwa juu: 1. Kushoto juu ni saa 22:19 2. Kinachofuata ni ki icon cha nini na kinatoka vipi? 3. Kinachofuata ni notification ya WhatsApp kuwa kuna new message. 4. Kinachofuata ni ki icon cha nini na kinatoka vipi? Tupeane...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…