Mwendokasi Mbagala inaanza lini?

Mwendokasi Mbagala inaanza lini?

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,550
Reaction score
6,513
Kwa wakazi wa Mbagala au wanaojua zaidi kuhusu kukamilika mpaka kuzinduliwa kwa mwendokasi ya Mbagala naomba anijuze.

Coz kuna biashara nlitaka nijaribu kuibuni kwa huko mbagala ila inategemea zaidi kukamilika kwa mwendokasi.

Kuna wakati nliskia mwezi wa nne itakuwa tayari saiz nliskia et ni mwezi wa sita nikajaribu kuongea na mkazi mmoja wa huko yeye akaniambia kwa anavyoona mpaka kukamilika kwa mwendo kasi inaweza kuwa mwezi wa 8 sasa sijajua mwenye info zaidi kuhusu kuanza kazi kwa mwendokasi ya mbagala naomba anijuze.

Natanguliza shukrani.
 
Tafuta kwenye website za Serikali, kama ni muhimu zaidi waulize hata viongozi wa hayo maeneo watakuwa wanajua zaidi.
 
Kwa wakazi wa Mbagala au wanaojua zaidi kuhusu kukamilika mpaka kuzinduliwa kwa mwendokasi ya Mbagala naomba anijuze.

Coz kuna biashara nlitaka nijaribu kuibuni kwa huko mbagala ila inategemea zaidi kukamilika kwa mwendokasi.

Kuna wakati nliskia mwezi wa nne itakuwa tayari saiz nliskia et ni mwezi wa sita nikajaribu kuongea na mkazi mmoja wa huko yeye akaniambia kwa anavyoona mpaka kukamilika kwa mwendo kasi inaweza kuwa mwezi wa 8 sasa sijajua mwenye info zaidi kuhusu kuanza kazi kwa mwendokasi ya mbagala naomba anijuze.

Natanguliza shukrani.
Kukamilika Mbagala ni mpaka mwakani mwezi wa 10, si unajuwa nchi yetu haina ufuatiliaji, watu wako bize huko Dodoma wakiwaza uchaguzi wa 2025.
 
Kwa wakazi wa Mbagala au wanaojua zaidi kuhusu kukamilika mpaka kuzinduliwa kwa mwendokasi ya Mbagala naomba anijuze.

Coz kuna biashara nlitaka nijaribu kuibuni kwa huko mbagala ila inategemea zaidi kukamilika kwa mwendokasi.

Kuna wakati nliskia mwezi wa nne itakuwa tayari saiz nliskia et ni mwezi wa sita nikajaribu kuongea na mkazi mmoja wa huko yeye akaniambia kwa anavyoona mpaka kukamilika kwa mwendo kasi inaweza kuwa mwezi wa 8 sasa sijajua mwenye info zaidi kuhusu kuanza kazi kwa mwendokasi ya mbagala naomba anijuze.

Natanguliza shukrani.
DART wanauzi wao humu nao ni member watafute kwenye special thread juu utapata majibu kutoka kwao moja kwa moja
 
 
Back
Top Bottom