Habari wakuu,
Kuna rafiki yangu anataka kununua tani 100 za maharage toka Uganda.
Naomba kujua kama kuna tax duties yeyote ambayo atalipa. Pia, kama ipo, naomba kujua ni asilimia ngapi ya gharama ya mzigo.
Natanguliza shukrani zangu kwa wote ambao mtatumia mda wenu kunisaidia.
Asante.
Kuna rafiki yangu anataka kununua tani 100 za maharage toka Uganda.
Naomba kujua kama kuna tax duties yeyote ambayo atalipa. Pia, kama ipo, naomba kujua ni asilimia ngapi ya gharama ya mzigo.
Natanguliza shukrani zangu kwa wote ambao mtatumia mda wenu kunisaidia.
Asante.