houstony
Member
- Jun 2, 2017
- 12
- 15
Habari wanajamii,
Mimi ni kijana mwenye shahada ya uhandisi mitambo (Bsc in Mechanical Engineering) naishi Dsm. Jinsia ME,
Kwasasa sina kazi yoyote, hivyo kama kijana mwenzenu nnaetafuta kujikwamua kimaisha naombeni msaada wenu niweze kupata kazi yoyote ya halali kwa maana hali imekuwa ngumu sana upande wangu.
Hivyo kwa yeyote mwenye connection au mwenye anajua sehemu naweza pata kazi hata za nguvu mimi nafanya au mwenye kazi yake anahitaji kijana mwaminifu pia karibu.
Ajiraportal nimeshajiunga na nimeapply zile za LGAs & MDAs.
Mawasiliano: 0628744072
NB: sina mtaji wa kufanya biashara
Asanteni.........
Mimi ni kijana mwenye shahada ya uhandisi mitambo (Bsc in Mechanical Engineering) naishi Dsm. Jinsia ME,
Kwasasa sina kazi yoyote, hivyo kama kijana mwenzenu nnaetafuta kujikwamua kimaisha naombeni msaada wenu niweze kupata kazi yoyote ya halali kwa maana hali imekuwa ngumu sana upande wangu.
Hivyo kwa yeyote mwenye connection au mwenye anajua sehemu naweza pata kazi hata za nguvu mimi nafanya au mwenye kazi yake anahitaji kijana mwaminifu pia karibu.
Ajiraportal nimeshajiunga na nimeapply zile za LGAs & MDAs.
Mawasiliano: 0628744072
NB: sina mtaji wa kufanya biashara
Asanteni.........