mpya

  1. Mystery

    JamiiForums Tanzania Wakati Umma wa watanzania unatamani tuwe na Katiba mpya iliyoboreshwa, watawala wao wanaendelea kututungia sheria za ukandamizaji!

    Kilio cha muda mrefu cha Umma wa watanzania ni tuwe na Katiba mpya ya nchi ambayo itakuwa imepanua wigo wa demokrasia na kuleta utawala bora, ambao ni utawala wa sheria Ndiyo maana katika vitu ambavyo Rais aliyepita, Jakaya Kikwete, angeingia katika rekodi za kutukuka ni kama angefanikiwa...
  2. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Prof. Issa Shivji: Sheria mpya inaenda kuua uzalendo na uwajibikaji wa viongozi wakuu wa mihimili, na nguvu za mihimili anaenda kupewa Rais

    Tanzania abolishes Public Interest Litigation (A Comment on the Amendment of Basic Rights and Duties (Enforcement) Act (Cap. 3 of the Revised Laws of Tanzania) By Issa G. Shivji Emeritus Professor of Public Law University of Dar es salaam The National Assembly of Tanzania on 10 June 2020...
  3. TULIMAJE

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa mil90 ipo Mbezi ya Kimara jirani na Stand Kuu Mpya

    Nyumba yenye vyumba 5 ikiwa kwenye hali nzuri. Ina uwanja mbele na nyuma Mita za mraba 1500 Inauzwa mil 90 maongezi yapo Karibuni simu 0768412181 Mbezi Kimara
  4. L

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza jenereta ipo vizuri kabisa ni kama mpya tu

    Nauza Jenereta kama unavyoiona kwenye picha hapo na specification zake, unaweza kutumia nyumbani, dukani, salon , au ofisini n.k ipo vizuri kabisa haina shida yoyote ni kama mpya tu. Ipo KIJICHI CCM, DAR, serious buyer nipigie simu 0762689222. BEI 280,000 piga simu kwa maelewano 0762689222.
  5. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Baraza la Mawaziri nchini Burundi limesema kwamba linaongoza nchi hadi Rais mpya atakapoapishwa

    Uamuzi huo ulifikiwa kufuatia mkutano uliyofanywa siku ya Alhamisi chini ya uongozi wa Makamu wa Rais wa kwanza Gaston Sindimwo. Kufikia sasa bado haijabainika ni lini kiongozi mpya ataapishwa, japo katiba iko wazi kuwa Spika wa bunge la kitaifa Pascal Nyabenda alitakiwa kuapishwa kushikilia...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Microsoft haitauza teknolojia ya utambuzi wa sura, hadi itakapoundwa sheria mpya

    Kampuni ya Microsoft imeungana na washindani wake, Amazon na IBM kukataa kuuza teknolojia ya kutambua sura kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo Wamesema hawatawagea teknolojia hiyo hadi itakapotambulika namna ambayo itatumika huku ikiheshimu haki za binaadamu Hatua ya hiyo imekuja kama...
  7. Cvez

    JamiiForums Tanzania Wadau wa utalii mna mtazamo gani kuhusu uamuzi mpya ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii?

    Serikali imeazimia kuipa mamlaka TRA kuhusika moja kwa moja na ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii katika taasisi hizi TANAPA, NCCA, na TAWA. Je, huu uamuzi kwa mtazamo wako una athari chanya au hasi katika utalii?
  8. DZUDZUKU

    JamiiForums Tanzania Muhula mpya wa masomo kwa ngazi ya Cheti na Diploma

    Salam ndugu wana JF, Naomba kuuliza, hivi application za vyuo kwa ngazi ya diploma na cheti tayari zimeanza au tayari muda wake umeshapita? Kwa mwaka 20/21 Ninamdogo wangu nahitaji nimfanyie usajili kwa wenye uzoefu au taarifa zinazo husu naomba msaada. Asanteni!
  9. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Vituo vya Udhibiti wa Magonjwa Afrika: Tunatumaini Tanzania itashirikiana nasi na kutoa takwimu mpya za COVID-19

    Mkuu wa Vituo vya Afrika vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika anasema "tunaendelea kubaki na matumaini" kwamba Tanzania itashirikiana kwa kutoa takwimu zake za COVID-19 hata kama Rais wa nchi hiyo alishatangaza ushindi dhidi janga hilo. John Nkengasong anasema "wanaelewa hali hatarishi na...
  10. Mi-Ann

    JamiiForums Tanzania MwanaJF mpya, nipokeeni

    Baada ya rafiki zangu wengi kuwa wanaongelea sana habari wanazopata JF hasa kwenye mambo ya siasa na kijamii, na mimi nikaona bora nijiunge. natumaini nitakaribishwa kwa mikono miwili.
  11. mgt software

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ya mji mpya Boko, Bunju na Mbweni yanahitaji Wilaya mpya na Jimbo

    Umuhofia kwenyu, Serikali INA haja ya kuangalia uwezekano kuunda wilaya ya miji mipya, boko, bunju na mbweni, miji hii inaendelea kwa kasi kiasi kwamba huduma za jamii zinakwama kufuatana wingi watu na matukio mbalimbali ambayo yangemalizwa kijimbo/ kiwilaya. Miji hii inakaa wakazi wengi...
  12. Dr Akili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ona katiba mpya ya Kenya inavyowatesa Wakenya

    Kamwe fahari wawili hawawezi kaa zizi moja. Katiba yao mpya iliweka fahari zaidi ya watatu katika zizi moja. Ona sasa mambo ya utawala wa nchi unavyokuwa mgumu.
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Muswada wa Marekebisho Sheria-2020: Unajua watu hawataweza kudai haki kwa niaba ya Wanyonge? Viongozi wa juu Serikalini hawatashtakiwa moja kwa moja!

    Asasi za Kiraia 220 zimefanya uchambuzi wa muswada huo wa sheria na kuwasilisha mapendekezo ya mabadiliko ya muswada huo kwa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria. Taasisi hizo zimeeleza kuwa japo kuwa zinafahamu muswada huo una lengo wa kusasisha Sheria iliyopo sana huku ikibaki kuendana na...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Shule mpya ya Sekondari ya Kisarawe

    Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwako mkuu wa wilaya yetu ya Kisarawe! Napenda juhudi zako,u bunifu wako na fighting spirit chanya juu ya wilaya yetu. Sambamba na juhudi zako ndani ya muda mfupi kumekuwa na mabadiliko mazuri ndani ya wilaya, nakupongeza sana. Nije kwenye kiini cha...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Trump aanza kuirudisha Marekani mahala pake, mwezi May aongeza ajira mpya 2.5M

    Ndio maana mimi sio muumini wa hizi zinaitwa projections au utabiri kutoka kwa wataalamu au wachambuzi wa utabiri sijui analysts projects this, projects that. Mimi hua nasema hizi ni sawa na usoma nyota na upiga ramli. Kwa mfano wanaoitwa wataalamu wa uchambuzi walitabiri Afrika tutakua na vifo...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania EWURA yatangaza bei kikomo mpya ya mafuta ya Petroli

    KUMB: PPR/2020 - 06/1 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 3 JUNI 2020 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano...
  17. MrsPablo1

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Bajaji mpya iliyosajiliwa inauzwa million 6

    Ilianza kazi tarehe moja mwezi wa tatu, ikafanya kazi miezi 2 dereva akazingua, so imepaki toka mwezi wa 5 , mwenyewe hataki tena biashara ya bajaji 📞 0758851175, 0713220021
  18. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Imetosha, hakuna haja ya silaha mpya maana za sasa tu zikitumika dunia itafubaa

    Hapa nazungumzia weapons of mass destruction Kwa sasa silaha zilizopo zinatishia hali ya usalama wa dunia nzima endapo zikitumika hasa na watu wenye nia ovu. Silaha zikiendelea kuzinduliwa nahisi siku ikitokea hata ugomvi wa russia na china basi bara lote la asia linaweza kumeguka
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana Yanga SC Wenzangu sasa tushindwe Wenyewe Kubeba Kombe la VPL kwani kwa ' Fixture ' hii mpya Simba SC hachukui Ubingwa tena!

    Kama Mabosi wa GSM wakiweza Kuongea vyema na Marefarii wa Kibongo na hivi wengi sasa wana Njaa kutokana na CORONA hii basi Yanga SC yetu itashinda Mechi zetu zote zilizobaki na Kuiduwaza Timu nisiyoipenda kabisa duniani ya Simba SC. Tuwaombe akina GSM, La Liga na Klabu ya Sevilla waje watusaidie...
  20. Trubarg

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza bati Mpya

    Migongo mipana Kampuni: Ando Gauge28 Rangi carrot Mahali Dodoma Vipimo Upana cm 190 Urefu 6.0m lipo 1 4.8m Zipo 3 na 3.6m ipo 2 Jumla mita 27 Bei 13000 kwa mita Mwenye interest tuonane
Back
Top Bottom