TFF yazindua jezi mpya za Taifa Stars

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetambulisha jezi mpya zitakazotumiwa na Taifa Stars ikiwemo jezi ya nyumbani, jezi ya ugenini na jezi namba tatu.

Oktoba 11, 2020 Tanzania itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi, jijini Dar es Salaam ambapo tayari Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amewasili nchini jana kwa ajili ya maandalizi.

Aidha, Kampuni ya Bia ya Serengeti Premium Lager imeingia makubaliano na kusaini mkataba wa Tsh. Bilioni 3 na TFF wa kuidhamini Taifa Stars kwa kipindi kingine cha miaka 3.
20201006_124542.jpg


View attachment 1592083
 
Yanga ni timu ya Wananchi wa Tanzania na timu ya Taifa nayo ni ya Wananchi wa Tanzania!
Simba ni timu ya wenye nchi. Haya wananchi kapangeni foleni kupiga kura kutuchagua wenye nchi, tuwapangie mambo ya kufanya na kutofanya
 
Back
Top Bottom