Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetambulisha jezi mpya zitakazotumiwa na Taifa Stars ikiwemo jezi ya nyumbani, jezi ya ugenini na jezi namba tatu.
Oktoba 11, 2020 Tanzania itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi, jijini Dar es Salaam ambapo tayari Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amewasili nchini jana kwa ajili ya maandalizi.
Aidha, Kampuni ya Bia ya Serengeti Premium Lager imeingia makubaliano na kusaini mkataba wa Tsh. Bilioni 3 na TFF wa kuidhamini Taifa Stars kwa kipindi kingine cha miaka 3.
View attachment 1592083
Oktoba 11, 2020 Tanzania itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi, jijini Dar es Salaam ambapo tayari Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amewasili nchini jana kwa ajili ya maandalizi.
Aidha, Kampuni ya Bia ya Serengeti Premium Lager imeingia makubaliano na kusaini mkataba wa Tsh. Bilioni 3 na TFF wa kuidhamini Taifa Stars kwa kipindi kingine cha miaka 3.
View attachment 1592083