Uchaguzi 2020 NCCR-Mageuzi kuleta mfumo mpya wa elimu

NCCR Mageuzi

Member
Oct 3, 2007
23
63
Hivi karibuni chama cha NCCR-Mageuzi kilizindua Ilani ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambayo kiujumla wake ilibeba ajenda takribani 10.

Ajenda hizi ni pamoja na:
1. Muafaka wa Kitaifa
2. Katiba Mpya
3. Elimu
4. Afya na Ustawi wa Jamii
5. Mazingira na Makazi
6. Vyombo vya habari na Asasi zisizo za kiserikali
7. Usawa wa Kijinsia na Makundi maalum
8. Uchumi
9. Usalama wa Taifa
10. Vita dhidi ya Rushwa

Kwenye ajenda ya 3 ambayo ni Elimu, NCCR-Mageuzi imefafanua vizuri na kuweka wazi kuwa endapo itashinda kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, basi itaanzisha mfumo mpya wa elimu ujulikanao kama Elimu msingi (Elimu ya Msingi) ambao utaishia mpaka kidato cha nne na baadae kujiunga na elimu ya sekondari miaka 2 kabla ya kujiunga na chuo kikuu. Katika madaraja haya mawili hakutakuwa na malipo yeyote ya ada (Elimu bila malipo)

elimu msingi.png
 
Mpo vizuri!

Mikutano ya mgombea wenu muwe mna update watu wapate nafasi ya kusikia akidadavua sera
 
Hivi karibuni chama cha NCCR-Mageuzi kilizindua Ilani ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambayo kiujumla wake ilibeba ajenda takribani 10. Ajenda hizi ni pamoja na
1. Muafaka wa Kitaifa
2. Katiba Mpya
3. Elimu
4. Afya na Ustawi wa Jamii
5. Mazingira na Makazi
6. Vyombo vya habari na Asasi zisizo za kiserikali
7. Usawa wa Kijinsia na Makundi maalum
8. Uchumi
9. Usalama wa Taifa
10. Vita dhidi ya Rushwa

Kwenye ajenda ya 3 ambayo ni Elimu, NCCR-Mageuzi imefafanua vizuri na kuweka wazi kuwa endapo itashinda kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, basi itaanzisha mfumo mpya wa elimu ujulikanao kama Elimu msingi (Elimu ya Msingi) ambao utaishia mpaka kidato cha nne na baadae kujiunga na elimu ya sekondari miaka 2 kabla ya kujiunga na chuo kikuu. Katika madaraja haya mawili hakutakuwa na malipo yeyote ya ada (Elimu bila malipo)View attachment 1583455
Chakuwashauri nendeni mkampigie Mbowe magoti mpewe kiti kimoja
 
Hahaah yaani primary miaka 11.Bado ile ya vidudu mitatu. Hapana aisee.
 
Hivi karibuni chama cha NCCR-Mageuzi kilizindua Ilani ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambayo kiujumla wake ilibeba ajenda takribani 10. Ajenda hizi ni pamoja na
1. Muafaka wa Kitaifa
2. Katiba Mpya
3. Elimu
4. Afya na Ustawi wa Jamii
5. Mazingira na Makazi
6. Vyombo vya habari na Asasi zisizo za kiserikali
7. Usawa wa Kijinsia na Makundi maalum
8. Uchumi
9. Usalama wa Taifa
10. Vita dhidi ya Rushwa

Kwenye ajenda ya 3 ambayo ni Elimu, NCCR-Mageuzi imefafanua vizuri na kuweka wazi kuwa endapo itashinda kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, basi itaanzisha mfumo mpya wa elimu ujulikanao kama Elimu msingi (Elimu ya Msingi) ambao utaishia mpaka kidato cha nne na baadae kujiunga na elimu ya sekondari miaka 2 kabla ya kujiunga na chuo kikuu. Katika madaraja haya mawili hakutakuwa na malipo yeyote ya ada (Elimu bila malipo)View attachment 1583455
Mama Tanzania vipi Yale majimbo 20 uliyoahidiwa na mwenyekiti wa ccm
 
Hivi karibuni chama cha NCCR-Mageuzi kilizindua Ilani ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambayo kiujumla wake ilibeba ajenda takribani 10.

Ajenda hizi ni pamoja na:
1. Muafaka wa Kitaifa
2. Katiba Mpya
3. Elimu
4. Afya na Ustawi wa Jamii
5. Mazingira na Makazi
6. Vyombo vya habari na Asasi zisizo za kiserikali
7. Usawa wa Kijinsia na Makundi maalum
8. Uchumi
9. Usalama wa Taifa
10. Vita dhidi ya Rushwa

Kwenye ajenda ya 3 ambayo ni Elimu, NCCR-Mageuzi imefafanua vizuri na kuweka wazi kuwa endapo itashinda kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, basi itaanzisha mfumo mpya wa elimu ujulikanao kama Elimu msingi (Elimu ya Msingi) ambao utaishia mpaka kidato cha nne na baadae kujiunga na elimu ya sekondari miaka 2 kabla ya kujiunga na chuo kikuu. Katika madaraja haya mawili hakutakuwa na malipo yeyote ya ada (Elimu bila malipo)

Hivi bado mpo kwenye kinyang'anyiro cha urais? Au pumzi imekata?
 
Back
Top Bottom