Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,477
20,377
Screenshot_20201007-011629_1602022719447.jpg
Screenshot_20201007-011629_1602022719447.jpg
Screenshot_20201007-011636_1602022643387.jpg
Screenshot_20201007-011636_1602022643387.jpg
 
Sitaki kuwa negative but exam performance na ubobezi katika fani husika ni vitu viwili tofauti.

One can perform wonders on attempting and answering selected number of questions on a paper but i’m telling u it’s quite diffetent from executing the respective field. Take it from me
 
Sitaki kuwa negative but exam performance na ubobezi katika fani husika ni vitu viwili tofauti.
One can perform wonders on attempting and answering selected number of questions on a paper but i’m telling u it’s quite diffetent from executing the respective field. Take it from me
You are very correct bro.
Mimi kuna watu nilisomaga nao ambao walikuwa wanapiga ma GPA ya 4.5 baada ya kumaliza chuo na kurudi mtaani hakuna cha maana wanachokifanya zaidi ya kunyonywa tu kwa wahindi.
 
You are very correct bro.
Mimi kuna watu nilisomaga nao ambao walikuwa wanapiga ma GPA ya 4.5 baada ya kumaliza chuo na kurudi mtaani hakuna cha maana wanachokifanya zaidi ya kunyonywa tu kwa wahindi.
Uwe na bahati Sana
Nani akuajiri ili ukachukue nafasi yake
 
Back
Top Bottom