Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Utafiti mpya kabisa wa kisayansi uliochapishwa jana kwenye Jarida la Sayansi la BMJ (BMJ 2020;371:m3588 ) umethibitisha kuwa JPM alikuwa sahihi kutowafungia watu kwa sababu ya corona.
Utafiti huo unaonyesha kuwa kuwafungia watu kunaongeza madhara zaidi ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya vifo pamoja na ugonjwa kuendelea kuwepo ndani ya jamii na kusababisha milipuko ya kujirudia ya ugonjwa huo.
Utafiti huo umefanyika Uingereza na umefanywa na watafiti toka chuo kikuu cha Edinburgh kilichopo nchini humo na matokeo yake kuchapishwa jana (October 7, 2020).
Soma zaidi utafiti huo hapa
na kiambatanisho (full paper)
Utafiti huo unaonyesha kuwa kuwafungia watu kunaongeza madhara zaidi ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya vifo pamoja na ugonjwa kuendelea kuwepo ndani ya jamii na kusababisha milipuko ya kujirudia ya ugonjwa huo.
Utafiti huo umefanyika Uingereza na umefanywa na watafiti toka chuo kikuu cha Edinburgh kilichopo nchini humo na matokeo yake kuchapishwa jana (October 7, 2020).
Soma zaidi utafiti huo hapa
na kiambatanisho (full paper)