mpya

  1. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Kanuni Mpya za Maudhui ya Mtandaoni 2020, Marufuku ya Maudhui yaongezeka

    Julai 17, 2020, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilichapisha mabadiliko ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni kwenye gazeti la Serikali kupitia gazeti Na.29 Toleo la 101. Mabadiliko hayo ambayo yalitolewa kupitia notisi Na. 538 yanabadilisha baadhi ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni za mwaka 2018 na...
  2. n00b

    JamiiForums Tanzania Kanuni mpya za Maudhui ya Mtandaoni: Wenye 'channel' na tovuti za dini nao kusajiliwa

    Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA), Namba 3 ya mwaka 2010 inamruhusu Waziri kuleta Kanuni za kusimamia maudhui ya mtandaoni. Waziri mwenye dhamana ya Mawasiliano amesitisha matumizi ya Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni Namba 133 ya mwaka 2018 zilizochapishwa mwaka mnamo Machi...
  3. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Kama sheria haijapitishwa na Bunge na haijafuata Katiba, Sheria hiyo ni batili. Kanuni mpya za mitandao ni batili

    (1) Katiba hutoa madaraka kwa Bunge kupitisha sheria. SHERIA lazima iwe within 4 walls ya katiba-la sivyo sheria ni batili. Sheria inatoa madaraka kwa Waziri au taasisi nyingine (k.m TCRA) kutunga KANUNI. Kanuni lazima ziwe within 4 walls ya sheria mama na Katiba-la sivyo ni batili. (2)...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Aston Villa Yateua Mkurungezi Mpya wa Michezo

    Baada ya kumfuta kazi Mkurungezi wa Michezo wa zamani Jesus Garcia Pitarch.... kutokana na kutofanya vizuri katika ligi.... na kushindwa kusajiri wachezaji wa wiwango bora....Timu ya Aston Villa imemteua Jahan Lange....mwenye umri miaka 40...kuwa Mkurungezi Mpya wa Michezo....Bwana Lange anatoka...
  5. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe aja na sheria mpya za mitandao kuelekea uchaguzi mkuu, wengi zitawafunga hasa upinzani na wenye mlengo tofauti na Serikali

  6. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania The KGB, NATO and Post-Independence Africa (1960s-1980s): Vita Mpya vya Maslahi ya Wazungu (USSR-USA-EU) ndani ya bara la Afrika punde baada ya uhuru

    The KGB, NATO and Post-Independence Africa (1960s-1980s): Vita Mpya vya Maslahi ya Wazungu (USSR-USA-EU) ndani ya bara la Afrika punde baada ya uhuru. Ninakushauri uanze kwa kusoma thread hii kwanza: Patrice Lumumba University of Russia: Ngome kuu ya majasusi wa KGB ya kufunza itikadi za...
  7. Digital base

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Msimamizi na Marketing Officers wa kujitolea watakaowezesha kampuni yetu mpya kukua

    Habari ya leo wakuu,mimi ni mmiliki mwenza wa kampuni ya Jerusalem Company Limited iliyopo jijini Mbeya inayo jihusisha na mambo ya usafi wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufua nguo kwa Laundry and Dry Cleaner machine lakini pia usafi maofisini,usafi majumbani, usafi viwandani, usafi ulio...
  8. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rekodi mpya: Mapacha kuwa wabunge wa kuchaguliwa kwa tiketi ya CCM

    Rekodi mpya inaweza kuwekwa ya mapacha kuwa wabunge kwenye bunge lijalo. Mapacha hao ni Kulwa Biteko aliyeongoza kura za maoni jimboni Busanda na Doto Biteko ambaye ni Waziri wa Madini aliyeongoza kura za maoni jimboni Bukombe. Maendeleo hayana vyama!
  9. J

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda kukabidhi Ofisi kwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge

    Ndivyo ilivyo. Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote. Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia. Maendeleo hayana vyama!
  10. MsemajiUkweli

    JamiiForums Tanzania Video na Picha: Ushahidi kuhusu yaliyotokea kwa Jaji Warioba wakati na baada ya vurugu, Ubungo Plaza

    Jamiiforums is where we dare to talk openly! Kwa mwananchi yeyote ambaye hajafungwa kimawazo na kifikra, angalia vizuri hii video kwenye dakika ya 1:18 ili yale uliyoambiwa uchanganye naya kwako kuhusu tuhuma zinazoelekezwa kwa Paulo Makonda!. Mtoa mada katika mdahalo wa kujadili Katiba...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kumkata Paul Makonda kwenye Kura za Maoni CCM, siyo maamuzi yenye akili

    KUMKATA MAKONDA SI MAAMUZI YENYE AKILI Na, Robert Heriel Ikiwa CCM itaamua kumkata Mhe. Paul Makonda itakuwa imefanya maamuzi yasiyo na busara. Yatakuwa ni maamuzi yasiyo na akili. Makonda ni moja vijana wachache muhimu kwa zama hizi katika taifa hili. Taifa la Tanzania linahitaji vijana mia...
  12. Ndokeji

    JamiiForums Tanzania Tangazo: Wauguzi wasio na leseni mpya kufutwa kazi

    Baraza la wauguzi na wakunga TNMC la Tangaza kufuta kwenye daftari la usajili, wauguzi wasiokuwa na lesseni zilizohuhishwa na kukoswa kazi ndani na nje ya nchi. Hayo yametanganzwa na Agnes Mtawa, Msajili wa Wauguzi TNMC
  13. D

    JamiiForums Tanzania GE2020 Je, waliotia nia CCM huku wakiwa wateule wa Rais Magufuli kutumbuliwa. Au waliomba ruhusa kama Rais alivyotaka?

    RC Makonda achukua fomu Kigamboni Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi. Dc Katambi wa Dodoma kachukua Shinyanga Mjini Asumpta Rc Pwani kachukua fomu Nkenge. Kwa kauli ya rais wanaweza kosa vyote? Ama wengine ni untouchable.
  14. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Tuunde Sheria mpya ya Ndoa kwa mtindo huu ili kuepuka upweke

    LET US CREATE NEW LAW IN BREAKING MARRIAGE or MARRIAGE TO BE COME DIVORCED ITSELF AFTER SEPARATION. Hey, my Funs to day DON NALIMISON a Musician, Human Rights Defendant and Security Affair Advisor giving you some points to show that a Marriage has already broken in Law an Fact due to one party...
  15. Wacha1

    JamiiForums Tanzania CV ya Balozi mpya wa Uingereza nchini Tanzania

    Mr David Concar has been appointed British High Commissioner to the United Republic of Tanzania in succession to Ms Sarah Cooke who will be transferring to another Diplomatic Service appointment. Mr Concar will take up his appointment during August 2020. CURRICULUM VITAE Full name: David...
  16. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watanzania hii ndio sababu ya kwanini tuliandika katiba mpya, mnamchosha rais na kero zenu kwenye misafara yake

    Enzi za katiba ya zamani hapa kwetu ilikua hivi hivi kama tunavyoshuhudia kwa Watanzania, kwamba maskini wanyonge wanalaghaiwa na kunyanyaswa bila msaada wowote, hata wakifika kwa wakuu wa mikoa taswira inabaki ile ile, mpaka siku msafara wa rais utapita, kisha umpigie rais makelele hadi akuskie...
  17. Influenza

    JamiiForums Tanzania Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kuteua ndugu kwenye Baraza la Mawaziri

    Rais mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amekosolewa kwa kuteua Baraza la Mawaziri linalojumuisha Mtu na Mke wake pamoja na watu wengine ambao ni ndugu Sidik Mia, ambaye ni Mgombea mwenza wa Rais huyo katika Uchaguzi wa mwaka 2019 amechaguliwa kuwa Waziri wa Uchukuzi huku mke wake, Abida Mia akiwa...
  18. J

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Rais Magufuli ateua Mkuu mpya wa Wilaya ya Nzega na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Hanang

    LEO Julai 9, 2020 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli amemteua Kamanda wa Kikosi cha Polisi TAZARA, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Advera John Bulimba kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kuchukua nafasi ya Godfrey William Ngupula. Mbali na uteuzi wa ACP Bulimba...
  19. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania GE2020 Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania

    Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA [MWONGOZO] UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020 TANZANIA Umetolewa leo Tarehe 09. 07. 2020. UTANGULIZI Ugonjwa wa Korona – COVID-19 Sote Tunafahamu kuwa nchini mwetu na Dunia kwa ujumla kumekuwepo na taharuki kubwa ya Ugonjwa wa...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Membe: Kuna CCM Mpya na CCM ya Zamani

    7 Julai 2020 Rondo, Lindi Tanzania ’CCM ilinionya, Ukimchallenge huyu kutaka Urais utafukuzwa chamani ’ Bernard Membe Sisi wale wa CCM ya zamani tulionekana kama kwamba hatujafanya lolote jema na hawa wanaojiita CCM Mpya. Membe aelelezea utofauti wa aliyoiita 'CCM ya zamani' na 'CCM mpya'...
Back
Top Bottom