Ajira Mpya za Walimu zinaweza kuwaumiza zaidi wasio na kazi kabisa mtaani

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Sio muda mrefu Serikali imetangaza ajira 13000 kwa walimu wa sekondari na shule za Msingi. Jambo hili ni tumaini jipya kwa walimu hasa wale ambao walikuwa hawana 'michongo' tangu wamehitimu elimu zao

Nawaza wale ambao wamejichimbia kijijini jinsi watakavyopata 'Bundle cost' (The newest form of Shoe leather cost), kwamba kwenda internet cafe kila wakati ili kusaidiwa kuomba nafasi hizo.

Nadhani zimetangazwa kwa haraka kabla ya tamisemi kujipanga kitecknolojia ndio sababu hadi sasa bado system yao iko Off. Hii inaonyesha kuwa wataalamu walikuwa bado hawajaarifiwa hivyo wanafanya kazi hivi sasa kipindi ambacho ilibidi watu wawe wameshaanza kutuma maombi

Kutokana na vitu kutokuwa well coordinated watu wa internet cafe watakula maisha kwa kuwa ni kawaida kupata wateja wengi kipindi cha mikopo, kuangalia matokeo na kuomba ajira kwa online portals

Lakini kwa hili tujirekebishe ili nafasi hizi zisiwaharibie watu bujeti zao kwa kiasi kikubwa, i.e sio wote wana laptops, wengine walishauza baada ya kumaliza vyuo, na sio wote walio na laptops wanaweza kuwa familiar na online portals kwa kuwa ni kawaida watu wengi tuko outdated

Sasa mtu aende internet cafe mara mbili kwa siku kuulizia kama system inapatikana au yeye mwenyewe kujaribu, is n't this costful

Ikumbukwe nafasi hizi zinapiganiwa na walimu wasio na michongo kwa kuwa watu wenye michongo yao washasahau kama wanamesomea ualimu vyuoni, na hawa wasio na michongo wako outdated sana

Ni mzee tu Naongea

Signed

Oedipus
 
Sio muda mrefu Serikali imetangaza ajira 13000 kwa walimu wa sekondari na shule za Msingi. Jambo hili ni tumaini jipya kwa walimu hasa wale ambao walikuwa hawana 'michongo' tangu wamehitimu elimu zao

Nawaza wale ambao wamejichimbia kijijini jinsi watakavyopata 'Bundle cost' (The newest form of Shoe leather cost), kwamba kwenda internet cafe kila wakati ili kusaidiwa kuomba nafasi hizo.

Nadhani zimetangazwa kwa haraka kabla ya tamisemi kujipanga kitecknolojia ndio sababu hadi sasa bado system yao iko Off. Hii inaonyesha kuwa wataalamu walikuwa bado hawajaarifiwa hivyo wanafanya kazi hivi sasa kipindi ambacho ilibidi watu wawe wameshaanza kutuma maombi

Kutokana na vitu kutokuwa well coordinated watu wa internet cafe watakula maisha kwa kuwa ni kawaida kupata wateja wengi kipindi cha mikopo, kuangalia matokeo na kuomba ajira kwa online portals

Lakini kwa hili tujirekebishe ili nafasi hizi zisiwaharibie watu bujeti zao kwa kiasi kikubwa, i.e sio wote wana laptops, wengine walishauza baada ya kumaliza vyuo, na sio wote walio na laptops wanaweza kuwa familiar na online portals kwa kuwa ni kawaida watu wengi tuko outdated

Sasa mtu aende internet cafe mara mbili kwa siku kuulizia kama system inapatikana au yeye mwenyewe kujaribu, is n't this costful

Ikumbukwe nafasi hizi zinapiganiwa na walimu wasio na michongo kwa kuwa watu wenye michongo yao washasahau kama wanamesomea ualimu vyuoni, na hawa wasio na michongo wako outdated sana

Ni mzee tu Naongea

Signed

Oedipus
Kwa kweli ni aibu kwa Tamisemi yetu kushindwa kusimamia, kuendesha portal yao. Vijana wetu wanateseka kushinda ktk internet cafe. Wengi wanarudi alfajil bila mafanikio. Wengi wameshakabwa na vibaka na kunyang'anywa simu zao. Tunamuomba mheshimiwa Selemani Jafo atoe tamko kama zoezi zima limeishia hapo. Au vijana wasubili majumbani mwao mpaka tarehe wanayotegemea portal itakuwa hewani.
 
Kwa kweli ni aibu kwa Tamisemi yetu kushindwa kusimamia, kuendesha portal yao. Vijana wetu wanateseka kushinda ktk internet cafe. Wengi wanarudi alfajil bila mafanikio. Wengi wameshakabwa na vibaka na kunyang'anywa simu zao. Tunamuomba mheshimiwa Selemani Jafo atoe tamko kama zoezi zima limeishia hapo. Au vijana wasubili majumbani mwao mpaka tarehe wanayotegemea portal itakuwa hewani.
Site nyingi za wizara za serikali ni hovyo.
 
Kwa kweli ni aibu kwa Tamisemi yetu kushindwa kusimamia, kuendesha portal yao. Vijana wetu wanateseka kushinda ktk internet cafe. Wengi wanarudi alfajil bila mafanikio. Wengi wameshakabwa na vibaka na kunyang'anywa simu zao. Tunamuomba mheshimiwa Selemani Jafo atoe tamko kama zoezi zima limeishia hapo. Au vijana wasubili majumbani mwao mpaka tarehe wanayotegemea portal itakuwa hewani.
Nililiona hili swala, watu wanahamu ya kupata hiyo mishahara kuwa na uhakika wa maisha yao, lakini system haiko tayari tangu jumatatu
 
Sio muda mrefu Serikali imetangaza ajira 13000 kwa walimu wa sekondari na shule za Msingi. Jambo hili ni tumaini jipya kwa walimu hasa wale ambao walikuwa hawana 'michongo' tangu wamehitimu elimu zao

Nawaza wale ambao wamejichimbia kijijini jinsi watakavyopata 'Bundle cost' (The newest form of Shoe leather cost), kwamba kwenda internet cafe kila wakati ili kusaidiwa kuomba nafasi hizo.

Nadhani zimetangazwa kwa haraka kabla ya tamisemi kujipanga kitecknolojia ndio sababu hadi sasa bado system yao iko Off. Hii inaonyesha kuwa wataalamu walikuwa bado hawajaarifiwa hivyo wanafanya kazi hivi sasa kipindi ambacho ilibidi watu wawe wameshaanza kutuma maombi

Kutokana na vitu kutokuwa well coordinated watu wa internet cafe watakula maisha kwa kuwa ni kawaida kupata wateja wengi kipindi cha mikopo, kuangalia matokeo na kuomba ajira kwa online portals

Lakini kwa hili tujirekebishe ili nafasi hizi zisiwaharibie watu bujeti zao kwa kiasi kikubwa, i.e sio wote wana laptops, wengine walishauza baada ya kumaliza vyuo, na sio wote walio na laptops wanaweza kuwa familiar na online portals kwa kuwa ni kawaida watu wengi tuko outdated

Sasa mtu aende internet cafe mara mbili kwa siku kuulizia kama system inapatikana au yeye mwenyewe kujaribu, is n't this costful

Ikumbukwe nafasi hizi zinapiganiwa na walimu wasio na michongo kwa kuwa watu wenye michongo yao washasahau kama wanamesomea ualimu vyuoni, na hawa wasio na michongo wako outdated sana

Ni mzee tu Naongea

Signed

Oedipus
Ila wabongo kwa kuishi kwa matunaini hewa hamjambo, mpaka huruma aisee
 
Ila wabongo kwa kuishi kwa matunaini hewa hamjambo, mpaka huruma aisee
Inawezekana data base imeundwa kupokea watu kama 20elfu hafu wanaomba 100000.There must "data base no space error."
Wamekurupuliwa mavumbini wampe bwana mkubwa kura kwa hisani ya kupewa ajira.
 
Sio muda mrefu Serikali imetangaza ajira 13000 kwa walimu wa sekondari na shule za Msingi. Jambo hili ni tumaini jipya kwa walimu hasa wale ambao walikuwa hawana 'michongo' tangu wamehitimu elimu zao

Nawaza wale ambao wamejichimbia kijijini jinsi watakavyopata 'Bundle cost' (The newest form of Shoe leather cost), kwamba kwenda internet cafe kila wakati ili kusaidiwa kuomba nafasi hizo.

Nadhani zimetangazwa kwa haraka kabla ya tamisemi kujipanga kitecknolojia ndio sababu hadi sasa bado system yao iko Off. Hii inaonyesha kuwa wataalamu walikuwa bado hawajaarifiwa hivyo wanafanya kazi hivi sasa kipindi ambacho ilibidi watu wawe wameshaanza kutuma maombi

Kutokana na vitu kutokuwa well coordinated watu wa internet cafe watakula maisha kwa kuwa ni kawaida kupata wateja wengi kipindi cha mikopo, kuangalia matokeo na kuomba ajira kwa online portals

Lakini kwa hili tujirekebishe ili nafasi hizi zisiwaharibie watu bujeti zao kwa kiasi kikubwa, i.e sio wote wana laptops, wengine walishauza baada ya kumaliza vyuo, na sio wote walio na laptops wanaweza kuwa familiar na online portals kwa kuwa ni kawaida watu wengi tuko outdated

Sasa mtu aende internet cafe mara mbili kwa siku kuulizia kama system inapatikana au yeye mwenyewe kujaribu, is n't this costful

Ikumbukwe nafasi hizi zinapiganiwa na walimu wasio na michongo kwa kuwa watu wenye michongo yao washasahau kama wanamesomea ualimu vyuoni, na hawa wasio na michongo wako outdated sana

Ni mzee tu Naongea

Signed

Oedipus
Hakuna ajira hizo ni porojo za ccm !!!
 
Back
Top Bottom