Hello JF,
Mimi nimeona kama Ray vanny hajafanya vizuri kwenye album yake mpya.
Moja nyimbo nyigi ameshirikisha wasanii wengine wakubwa which is good strategically ila wamemfunika,lol.
Second, Rayvany ameimba tone ya chini sana sio kama tulivyomzoea,tumeshindwa kumtambua.
Next time Ray,be...