Mpigaji Sana yule yupo makao anasoma magazetiHivi yule kamanda Ahmed Msangi yupo wapi?
Yule mtekaji wa Ulimboka?Hivi yule kamanda Ahmed Msangi yupo wapi?
Mpigaji Sana yule yupo makao anasoma magazeti
wala sina la kusema 😆😆Nakusikiliza mkuu!
Dr Ulimboka hatamsahau maisha yake yote!Hivi yule kamanda Ahmed Msangi yupo wapi?
Mwishowe hili litakuwa kero, kama sio tatizo kabisa!Teua na tengua baada ya siku moja imekuwa kawaida
Tatizo SSH ameruhusu vimemo, baadhi ya majina yanapenyezwa ikija kufanyika proper vetting unakuta mtu hafai hiyo nafasi. SSH anahitaji kuwa mkali akiendelea kulegezea wapiga deal itakula kwake, haiwezekani kila siku kunakuwa na makosa kwenye uteuzi.Mwishowe hili litakuwa kero, kama sio tatizo kabisa!
Inaonyesha huko ndani hawana utulivu bado; sijui itawachukua muda gani waanze kuonekana kufanya mambo kwa uhakika.
Wa kuamkia Jumapili au Jumatatu?Taarifa za uteuzi zinatoka usiku tena usiku wa kuamkia jumapili
Kazi inaendeleaTeua na tengua baada ya siku moja imekuwa kawaida
Anapiga jaramba kuchukua mikoba ya siroHivi yule kamanda Ahmed Msangi yupo wapi?
Vipi jombaa hulali unamuota mwanaume mwenzio.. Akikuletea shanga usirushe ngumiMshana jr akiamka atascream 'huyo ni sukuma gang'