Katiba mpya itaundwa tu.
Utawala wa awamu ya 5 ndiyo umeleta chachu na hamu ya uhitaji wa kuundwa kwa Katiba mpya. Kila kundi katika jamii linahitaji Katiba mpya. Wanaccm, Wapinzani, Wanaharakati, n.k.
Wananchi wa makundi mengi katika jamii hawakufurahishwa na mwenendo wa mwendazake lakini hawakuwa na namna ya kumdhibiti kwasabb Katiba hii mbovu inampa rais umungu Mtu. Ninaamini wasingependa kuona hali hii inajirudia tena. Hivyo hata wao wanataka Katiba mpya.
Katiba mpya yaja bandugu, maana hakuna kundi ambalo halikuonja machungu ya mwendazake.
Hata U-turn ya maamuzi, maoni na mitazamo ya viongozi waandamizi katika Serikali ni ushahidi tosha kuwa kila Mtu alikuwa anaburuzwa na mwendazake.
Nawahakikishia katiba mpya yaja.
Utawala wa awamu ya 5 ndiyo umeleta chachu na hamu ya uhitaji wa kuundwa kwa Katiba mpya. Kila kundi katika jamii linahitaji Katiba mpya. Wanaccm, Wapinzani, Wanaharakati, n.k.
Wananchi wa makundi mengi katika jamii hawakufurahishwa na mwenendo wa mwendazake lakini hawakuwa na namna ya kumdhibiti kwasabb Katiba hii mbovu inampa rais umungu Mtu. Ninaamini wasingependa kuona hali hii inajirudia tena. Hivyo hata wao wanataka Katiba mpya.
Katiba mpya yaja bandugu, maana hakuna kundi ambalo halikuonja machungu ya mwendazake.
Hata U-turn ya maamuzi, maoni na mitazamo ya viongozi waandamizi katika Serikali ni ushahidi tosha kuwa kila Mtu alikuwa anaburuzwa na mwendazake.
Nawahakikishia katiba mpya yaja.