mkopo

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mh. Rais, kwani mkopo wa madaktari ni wa bure hawalipi?

    Mh Rais wangu samahani naomba kujuwa mikopo wa nayo pewa madaktari hawalipi? Maana naona kama unalirudisha hili taifa zama ambazo zimeumiza watu wengi mpaka wengine wakakimbia nchi. Waache madaktari wafurahie taaluma yao kwa uhuru. Kuna madaktari wangapi wapo mtaani why unahangaika na huyu Dr...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Riba ya Mkopo

    Wasomi naomba kuelimishwa. Kisheria, hasa sheria ya fedha imekaaje? Je, kuna kiwango elekezi cha riba ambacho mkopeshaji anatakiwa asivuke? Na je, Kila mtu anaweza akaanzisha utaratibu wa kukopesha mtaani na kuwa na riba aliyoamua na mbele ya sheria akawa Yuko sahihi?
  3. L

    JamiiForums Tanzania Baada ya Mwl. Mussa Iddy kulalamika, HESLB yatoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa urejeshaji mikopo

    Baada ya Mwl. Iddy wa Geita kufichua uonevu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Hatimaye Bodi wameamua watoke hadharani tena ni Jumapili [emoji116][emoji116][emoji116] Watu mbalimbali wamehoji kwa nini Watumishi wanapoidai Serikali hakunaga hiyo 'Rentetion fee'?
  4. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania Loan Calculator ya HESLB ina kasoro gani? Huyu mnufaika Loan Board anadaiwa mkopo wa karibu Bilioni 48!

    Hebu kila mtu atazame kwa umakini Risiti ya Mshahara (Salary Slip) ya mtumishi huyu (Mwalimu) aliyesoma kwa pesa za bodi ya mikopo - HESLB... Ni mjadala unaoendelea ktk group moja la WhatsApp huko na hiki ni kilio cha mwalimu huyu ambaye sasa yuko very frustrated na hajui afanyeje ku - overturn...
  5. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Kuna mwanafunzi aliyepata Mkopo kupitia dirisha la kuappeal na hv sasa amesign na kupata Boom?

    Ndugu wanafunzi kama mnavyokumbuka HESLB walitangaza majina ya wanufaika wapya wa mikopo(1 year) tarehe 24/12/2020 kupitia dirisha la rufaa. So nauliza kama kuna mwanafunzi yeyote wa chuo chochote ambaye ameenda kwa Afisa Mikopo wa chuo chake na akafanikiwa kupata pesa zake ikiwemo Boom. Maana...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kwa wanafunzi waliokua wanufaika wa mkopo kutoka HESLB

    .
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nina hitaji mkopo wa milioni moja na nusu

    Mimi ni mfanyabiashara mdogo ambae bado sijafikia level ya kukopesheka benki. Nina shida ya mkopo wa milioni moja na nusu ili niweze kukuza biashara yangu. Dhamana niliyonayo ni hati ya mauziano ya kiwanja na kadi ya gari. Napatikana iringa, naombeni mkopo wadau
  8. Doji MD

    JamiiForums Tanzania Nataka chukua mkopo benki

    Habari, nimehitimu chuo(Lingusitic teacher) ninawazo lakufungua photo na local video production (Songea) Nataka ingia bank omba mkopo (3mil.) kwaajili ya printer navifaa vingine. Camera nacomputer ninavyo tayari. Mnishauri wakuu, maana dhamana nataka weka hati ya nyumba ya urithi lenye eneo...
  9. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  10. hiram

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nabonyeza wapi? Kukata rufaa ya mkopo bodi

    Nipo hapa najaribu kukata rufaa lakini sijui unabonyeza wapi hebu nisaidieni.
  11. Njanga Tz

    JamiiForums Tanzania CRDB wiki mbili hawajaingiza mkopo

    Toka nimeomba mkopo CRDB zimepita siku15 bila kuingiziwa mkopo wangu. Taratibu zote nimefuata ikiwemo makato kuingizwa hadi muda huu sielewi hii bank ina shida gani. Mbaya zaidi afisa mkopo hapokei simu yangu. Mliopo mjinj niambieni kuna nini uko maana niko shamba nalima na nilitegemea pesa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kuhusu hili la kuhama ukiwa na mkopo mpya

    Habari wakuu? Naomba kuuliza hivi mfano mtumishi amechukua mkopo Nmb mpya baada ya siku nne au wiki anapata barua ya uhamisho kutoka kwa katibu mkuu utumishi anahama kutoka kwa DED kwenda kwenye shirika la serikali je ule mkopo hauwezi ukaathiri uhamisho wake kwenda kwa mwajiri mpya?
  13. Kabota A Kabota

    JamiiForums Tanzania HESLB 2020/2021 kwa wanafunzi wa Postgraduate

    Wadau nauliza utaratibu wa HESLB 2020/2021 juu ya wanafunzi wa POSTGRADUATE kunako upewaji wa Mkopo, JE nawao wanaunganishwa kwenye hizi BATCH 2 zilizotangazwa?
  14. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kumbukeni Hizo Pesa za Mkopo wa Chuo Zinarudishwa mara baada ya Kuajiriwa tu

    Pamoja na Sherehe mnazofanya mitaani kumbukeni pesa za Mkopo zinarudishwa kwa Rate ya 15% kwenye Basic Salary let say umeajiriwa unalipwa 2.5M utakatwa jumla ya sh. 0.375 Million so tukumbuke kuwa pesa inarudishwa ili na wengine wasomee pia kuna adhabu kama utachelewa kulipa ndani ya mda baada...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi vyuo vikuu Rais haja ahidi kuwapunguzia riba ya mkopo wa chuoni badala yake ataongeza idadi ya wanufaika

    Ni wakati wa wanafunzi kuwa wapole, walitegemea riba itapunguzwa imekuwa tofauti badala yake fedha zitaongezwa ili wengi wapate mikopo maana yake ni mtaji unawekezwa ili ukue kwa riba ile ile ya 15% . ushauri wangu ni wazazi wajitahidi kutafuta pesa wawasomeshe watoto si kwa mikopo maana...
  16. daltony temu

    JamiiForums Tanzania Continous walioomba mkopo mwaka 2020/21 wanaweza kupangiwa?

    Naomba kufahamu wanachuo wanaoendelea na masomo, wengi wakiwa mwaka wa pili walioomba mkopo mwaka huu(2020/2021) wamaweza kupata? Na huwa batch ya kwanza haiwahusu kabisa! Au inakuwaje! Wakuu naombeni msaada hapo kwa aliye na uzoefu!
  17. H

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Million 100 kwa ajili ya biashara ya usafirishaji

    Habari za majukumu ndugu zangu, Nina wazo la kukopa bank kiasi cha pesa Million 100 kwa ajili kununua mitsubishi canter 2 zenye uwezo wa kubeba tani 3.5 kwa ajili ya biashara ya usafirishaji bidhaa na mizigo. Mwenye wazo lolote juu ya hili naomba anisaidie.
  18. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu ashawahi kupata mkopo halopesa HALO MKOPO?

    Kama ilivyo mitandao mingine tigo nivushe,voda songesha pia nimeona halo mkopo,lakini hawa halo mkopo...Mbona kila siku wanadai huduma hii itakujia punde...Vp tatizo ni nini...Finca mnafeli wapi
  19. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Hivi benki inaweza kukupa mkopo kwa kitambulisho cha Ujasiriamali?

    "Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Kitambulisho cha mjasiriamali kumsaidia mtu kupata mkopo. Je, ni kweli au?

    oi
Back
Top Bottom