Bodi ya Mikopo HESLB waanza kuwakata watumishi wa TGTS B kabla hawajabadilishiwa muundo wa utumishi

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa 1/3 ya basic yao.

Hapo ukute alikuwa anabakiwa na take home ya 1/3 sasa HESLB nao wakachukua chao 15%, nadhani atabakiwa na 1/6
IMG_20210425_181008.jpg
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa ⅓ ya basic yao.

Ama kweli kula kulipa.
View attachment 1763968
Kama alichukua pesa za HESLB kula bata ndio atajua hajui

Maana tayari alikuwa na mshahara+mkopo akiteseka sasa hivi ni maamuzi yake.

Na mkopo umechukuliwa enzi za Jiwe tayari kukiwa na sheria mpya kabisa
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa ⅓ ya basic yao.

Ama kweli kula kulipa.
View attachment 1763968
Sasa unalalamika halafu unaweka ushahidi unafuta zile sehemu muhimu za kuonyesha jinsi ulivyokatwa. Huna akili kabisa

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa ⅓ ya basic yao.

Ama kweli kula kulipa.
View attachment 1763968
Hao Bodi watakuja kuua watu kwa msongo wa mawazo! Hapo ulipofuta hapo, lazima tu kuna wale jamaa zangu wa bayport, platinum, faidika, maboto nani sijui! nk. wameshakuumiza tayari kwa mikopo yao kiduchu huku riba ikiwa asilimia za kutosha!

Halafu na wenyewe wanakuja tena kubisha hodi!!! Hatari sana. Pole Mwalimu.
 
Pole Sana Mkuu, HESLB Wamekata, Bank Nao Naona Wamekata na Bado Wanaendelea Kukata, Take Home Hapo Kama Naiona Hela Ya Kulipia Chumba Tu, Chenchi Inayobaki ya Vocha.
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa ⅓ ya basic yao.

Ama kweli kula kulipa.
View attachment 1763968
Hiyo ndiyo ‘salary slip’ ya serikalini?
 
Hapo ni Kwa Taasisi za Kibenki Mkuu, Hawa Bodi Hawalijui Hilo 😁
Kuna sheria pia makato ya mtumishi yasizidi moja ya tatu ya mshahara wake.Asilimia kumi na tano ni ukiukwaji wa sheria
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa ⅓ ya basic yao.

Ama kweli kula kulipa.
View attachment 1763968
kiukweli hii nchi tupungezeni kulalamika na tuachie wanaostahili kulalamika yan basic 423000 sijui sasa take home itabaki shilingi ngapi benk ya posta hawajachukua chao maana najua mwalimu na benk ya posta ni mtu na dada ake bado loan board
 
Kuna sheria pia makato ya mtumishi yasizidi moja ya tatu ya mshahara wake.Asilimia kumi na tano ni ukiukwaji wa sheria
Sheria inataka mtumishi akikatwa makato yote abakiwe na fedha isiyopungua 1/3 ya mshahara wake. Ikiwa na maana huyo ticha akikatwa piga ua anatakiwa achiwe 143,000. Hivyo mshahara wake unaweza kukatwa hadi asilimia 66 lakini asilimia 33 aachiwe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom