mkopo

  1. mama D

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza pata wafanyabiashara wa bidhaa hizi ambao wako tayari kuuza bidhaa zao kwa wingi zaidi ila kwa mkopo wa muda mfupi?

    Natafuta wafanya biashara wanaotoa na kuuza bidhaa zao kwa mkopo. Namaanisha suppliers ambao wanaweza kukupa bidhaa au huduma na ukalipa kwa instalments labda kwa miezi2, 3, 6, 9 au 12. Ningependelea zaidi kupata wale wanaohusika na Vifaa vya ujenzi kama vifaa vya umeme, mabomba, tofali...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji amuomba msamaha Kigwangalla kwa kumnyima mkopo baada ya kuhojiwa uenyekiti wake Simba bila kukamilisha uwekezaji

    Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangalla alionekana akiwanadi ng'ombe wake Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi. Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu...
  3. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa dharura unahitajika

    Habari za leo wanaJF Mimi ni muajiriwa katika taasisi binafsi, nina uhitaji wa mkopo wa dharura wa Tshs 200,000/- (laki mbili) kwa dhamana ya vifaa vidogo nilivyonavyo. Malipo nitayafanya ndani ya mwezi (mpaka kufikia mwishoni mwa mwezi September) Yeyote mwenye kuweza kuwa na msaada wa haraka...
  4. muzi

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Elimu unapokuwa wa kinyonyaji

    Wanufaika wa mkopo wa elimu kilio kilio na ndo mana wengi wanakimbia wasilipe mkopo. Serikali iondoe tozo ya 6% (value retention fee) inayotozwa na bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB) kila mwaka kwa kila mnufaika. Tozo hii inafanya mkopo usilipike na inaleta umaskini kwa wanufaika. Mkopo...
  5. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania: Kwanini mnataka kunisitishia huduma ya kukopa M-PAWA halafu tena mnaniuliza kama ninahitaji mkopo?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo...
  6. M-FINANCE

    JamiiForums Tanzania Nataka Mkopo wa haraka wa Milion 4.5 naweka gari Dhamana

    Nataka mkopo wa 4.5m Kabla ya saa 10, naweka gari dhamana, kwakweli nina shida ya haraka, Mashart ntayafuata atakayo Gari ni Vits new model ya mwaka 2009, Napatikana Dar as salaam
  7. Eboo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Unawezaje kupata mkopo iwapo uli-discontinue chuo?

    Habari wanajamvi, Je, mnufaika wa mkopo katika mwaka uliopita na akadisco chuo, anawezaje kupata mkopo tena iwapo yupo kwenye chuo kingine kwa sasa? Kwa anayefahamu asaidie kushare tafadhali.
  8. SuperHb

    JamiiForums Tanzania Mkopo kwa wanaotaka kusoma Diploma

    Kama kichwa cha habari hapo juu, Hivi inawezekana anayetaka kusoma DIPLOMA akaomba Mkopo au ni kwajili ya wanaosoma degree tu? Naomba kuwasilisha
  9. SirSalumu

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa muongozo

    Tuusome kwa makini ili tupate mikopo inshallah ====== Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo ya elimu ya juu inayotolewa na Serikali kupitia HESLB kuwa mfumo wa uombaji wa mkopo kwa njia ya mtandao utakuwa wazi kwa siku 40 kuanzia Jumanne, Julai 21, 2020 hadi...
  10. Mgiriki MTz

    JamiiForums Tanzania Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

    Habari wana jf, Husika na kichwa cha uzi naomba kujua kama RITA wameshaanza uhakiki wa vyeti kwa njia ya mtandao kwa vijana wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB? Pia naomba kujua kama bodi ya mikopo,HESLB kama tayari wameshatoa vigezo vitakavyotumika mwaka huu? Nawasilishà. #jEshi.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Juni 10 IMF & World Bank kuamua iwapo Tanzania tunakidhi kupewa mkopo tulioomba kupambana na corona au hatustahili

    June 10 bodi ya wakurugenzi wa shirka la fedha Duniani na Bank ya Dunia kuamua iwapo tunastahili kupewa msamaha na mkopo kupambana na corona au laa. Mwezi April IMF na WB walitengeneza kitu kinaitwa Catastrophe Containment and Relief Trust ili kusaidia nchi masikini kupambana na madhara ya...
  12. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Fahamu mambo yafuatayo yanayofanyika katika urejeshaji wa mkopo wa elimu ya juu "HESLB".

    Kwanza kabisa ni ukweli usiopingika yapo maboresho makubwa yaliyofanywa na Bodi ya mikopo miaka ya karibuni kwa lengo la kuwa mfuko endelevu na kunufaisha Wanafunzi wengi zaidi. Mabadiliko hayo kwa kiasi kikubwa yamewaumiza walipaji wengi hususani walioanza kulipa kabla ya mwaka 2017. Kuna...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta Taasisi au Private Lender anayetoa mkopo wa Tsh. milioni 15. Dhamana ni nyumba au gari

    Natafuta mkopo wa kiasi hicho tajwa hapo juu. Kwa haraka msaada please, sitaki bank sababu ni shida ya haraka. Contact me 0716 026077
  14. mamayoyo1

    JamiiForums Tanzania Ufaransa yaipatia Serikali mkopo nafuu kujenga mradi wa maji mjini Morogoro

    Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA). Mkataba wa...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa mkoani Dodoma baada ya kupatiwa mkopo wa kugharamia ujenzi huo?

    Wakati ujenzi wa uwanja wa mpira kwa ufadhili wa mfalme wa Morocco ukiwa hauelewiki maana hakuna kinachoendelea site, naomba kujuzwa ni nini kinaendelea kuhusu ahadi ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa katika eneo la Msalato mkoani Dodoma. Nakumbuka iliripotiwa kuwa mkopo wa shilingi...
  16. UTAFITI WA MADINI NA MAJI

    JamiiForums Tanzania Tunachimba visima vya maji na tunauza Mashamba ya Miti ya mbaio

    Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na...
  17. kijana wa leo

    JamiiForums Tanzania Msaada Tutani: Ni taasisi ipi ya mikopo kwa Dar naweza kupata mkopo wa 400,000 kwa leo?

    Kama kichwa kinavyojieleza, nimepata dharura leo nahitaji mkopo wa faster kiasi cha laki nne, ni taasisi ipi wanaweza kutoa mkopo kwa riba nzuri, dhamana ipo kadri ya mahitaji ya taasisi...
  18. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania IMF yazisamehe madeni nchi 25 kama hatua ya kuzisaidia katika juhudi za kupambana na Covid-19. Yatabiri mdororo mkubwa wa Kiuchumi duniani

    IMF Executive Board Approves Immediate Debt Relief for 25 Countries Washington, DC – Ms. Kristalina Georgieva, Managing Director of the International Monetary Fund (IMF) issued the following statement: “Today, I am pleased to say that our Executive Board approved immediate debt service...
  19. Emman1985

    JamiiForums Tanzania Je, katika suala hili naweza kupata mkopo kutoka HESLB

    Poleni na majukumu wadau. Nimehitimu chuo kikuu 2013 BSc. Ed. na kwa sasa naplan kurudi kusoma Medicine. Nikiomba mkopo kuna uwezekano wa kupata? Wenye uelewa katika hili naombeni taarifa tafadhali.
  20. Makanyaga

    JamiiForums Tanzania Mkopo uliokwama Benki ya Dunia watoka, sababu za kukwama zatajwa

    Benki ya Dunia (WB) hatimaye jana ilifikia muafaka na Serikali kutoa mkopo wa Dola500 milioni (Sh1.2 trilioni) kwa ajili ya kuboresha elimu ya sekondari nchini Tanzania. Benki ya Dunia ilichelewa kutoa fedha hizo kufuatia maombi ya baadhi ya wanasiasa wa upinzani na asasi za kiraia waliokuwa...
Back
Top Bottom