The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Hebu kila mtu atazame kwa umakini Risiti ya Mshahara (Salary Slip) ya mtumishi huyu (Mwalimu) aliyesoma kwa pesa za bodi ya mikopo - HESLB...
Ni mjadala unaoendelea ktk group moja la WhatsApp huko na hiki ni kilio cha mwalimu huyu ambaye sasa yuko very frustrated na hajui afanyeje ku - overturn mambo.
Huyu mnufaika mikopo ya elimu ya juu anadaiwa na Bodi ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) almost Tshs. 48,000,000,000 - yaani bilioni 48...!!
Baada ya kuona hili nikajiuliza maswali haya na naomba tujadili kwa pamoja;
1. Nimejaribu kujiuliza, hili linawezekana vipi? Ni figure ambayo iko pale kimakosa au ndiyo uhalisia wenyewe?
2. Na nikajiuliza hivi HESLB walimkopesha huyu kijana shilingi ngapi na akaenda kusomea ualimu wa aina gani na wapi hapa duniani..?
3. Na hivi sheria ya mikopo ya elimu ya juu kuanzia utaratibu wa kukopa na namna ya kurejesha ikiwemo riba iko vipi...?
4. Kama huu ndiyo UHALISIA, hebu tujiulize, kuwa, hivi serikali ipo kwa ajili ya nani?
5. Kama ipo kwa ajili ya wananchi, mbona kama inafanya biashara haramu ya fedha kupitia kwa wananchi hawa hawa masikini na wanyonge..?
UPDATES:
.......................
Baada ya malalamiko kuzidi hatimaye, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wamejitokeza na kutoa ufafanuzi...
Japo ufafanuzi wao haujibu maswali mengi ya msingi, lakini at least wamesema kitu..
Ni mjadala unaoendelea ktk group moja la WhatsApp huko na hiki ni kilio cha mwalimu huyu ambaye sasa yuko very frustrated na hajui afanyeje ku - overturn mambo.
Huyu mnufaika mikopo ya elimu ya juu anadaiwa na Bodi ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) almost Tshs. 48,000,000,000 - yaani bilioni 48...!!
Baada ya kuona hili nikajiuliza maswali haya na naomba tujadili kwa pamoja;
1. Nimejaribu kujiuliza, hili linawezekana vipi? Ni figure ambayo iko pale kimakosa au ndiyo uhalisia wenyewe?
2. Na nikajiuliza hivi HESLB walimkopesha huyu kijana shilingi ngapi na akaenda kusomea ualimu wa aina gani na wapi hapa duniani..?
3. Na hivi sheria ya mikopo ya elimu ya juu kuanzia utaratibu wa kukopa na namna ya kurejesha ikiwemo riba iko vipi...?
4. Kama huu ndiyo UHALISIA, hebu tujiulize, kuwa, hivi serikali ipo kwa ajili ya nani?
5. Kama ipo kwa ajili ya wananchi, mbona kama inafanya biashara haramu ya fedha kupitia kwa wananchi hawa hawa masikini na wanyonge..?
UPDATES:
.......................
Baada ya malalamiko kuzidi hatimaye, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wamejitokeza na kutoa ufafanuzi...
Japo ufafanuzi wao haujibu maswali mengi ya msingi, lakini at least wamesema kitu..