Ndege za mkopo na ndege za kununua taslimu, ni zipi zenye kuongoza faida kibiashara? Serikali chukueni ushauri wa wasomi hapa!

Pslmp

JF-Expert Member
Mar 18, 2021
1,622
2,459
Mimi sio mtalaamu wa mambo ya biashara, Ila nachotaka niombe Kwa wachambuzi na wataalamu wa hizi biashara mtuambie na muisaidie Serikali katika hii aviation business.

Kwa mjibu wa bwana Assad, yeye analaumu Sana manunuzi ya kununua ndege kwa cash.

Tunaomba wataalamu wa mambo ya biashara hasa biashara hii ya anga.

Tunataka kujua, Je, manunuzi ya cash, yanaweza kusababisha vipi shirika kupata hasara?

Unadhani kwamba, ndege zikinunuliwa kwa mkopo, zinaweza sasa kuleta faida kibiashara? Toa mfano wa shirika ambalo lenyewe hufanya manunuzi yake Kwa mkopo na linapata faida.

Je, hasara za kununua Cash zikoje?

Je, faida za kununua Kwa mkopo zikoje?

Na Kwa kuwa serikali yetu Bado inampamgo wa kununua ndege nyingine, kwa mawazo na ushauri wa kitalaamu, pengine tunaweza kuwasaidia sana ili kuepuka hasara hizi.

Na pengine hata zile ndege ambazo zilikuwa Kwenye Oda tayari, Kwa ushauri wako, Bado serikari inaweza kughairi.

Maana ni mhimu kufahamu pia katika hili, unaweza kuta ukiwa unanunua ndege Kwa mkopo, shilika ulilonunulia nalo linaweza kuingia kusaidia namna nzuri ya kupata wateja ili mteja wake apate pesa haraka za kulipa mkopo wake.

Karibuni

Majibu tukiyakosa, Tumpuuze CAG mstaafu.

Tunachotaka kujua, tuonyeshe faida za kiuendeshaji Ikiwa mtu atakopa na Kwenye kulipa cash

Karibuni
 
Zenye mkopo zina riba mkuu. Tena kama nchi yetu ilivyo na bureaucracy tungeweza kujikuta tunalipa hata nusu gharama au zaidi kwenye riba.
 
Zenye mkopo zina riba mkuu, tena kama nchi yetu ulivyo na bureaucracy tungeweza kujikuta tunalipa hata busu gharama au zaidi kwenye riba.
Kwa hiyo huyu jamaa hana hoja bali vijembe tu na visasi alivyojaza moyoni?
 
ATCL ilikuwa na madeni ya nyuma na ambayo iwe ina operate au hai operate LAZIMA walipe hela. In Kuna madeni ambayo yanatengeneza mpaka riba za 10bnTsh kwa mwaka. Kuna namna mbili ya kudeal na shirika la namna hii.

1. Kufilisi shirika na kuuza mali zake zote ili kulipa madeni ya nyuma na kuanza upya kabisa. Shirika halikuwa na mali za kuweza kufilisi kulipa madeni ya nyuma.

2. Kuliwezesha shirika kwa kulipa mtaji ambao hautakuwa na riba/interest zingine hivyo kuongeza mzigo mpya. Hivyo kununua ndege kwa cash kulilenga kufufua shirika kwa kuhakikisha linajiendesha lenyewe na kulipa madeni ya nyuma lenyewe

3. Kwa mfano kwenye matatizo ya corona, ATCL ingekuwa inalipa deni hata leo hii hata kama dunia nzima ndege hazifanyi kazi.

Sijaona ujinga wa kununua ndege kwa cash based on this experience and scenario. Model yaw engine wanafanyakje duniani sio lazima ifanane nay a kwetu hapa.

JPM hakuwa na muda wa ku entertain discussion hizi ambazo watu wanajifanya wasomi bila ku customize hali halisi ya nchi yetu

Kwa Hapa Assad kama msomi, kakosea mno.

JPM was million years ahead of Assad
 
ATCL ilikuwa na madeni ya nyuma na ambayo iwe ina operate au hai operate LAZIMA walipe hela. In Kuna madeni ambayo yanatengeneza mpaka riba za 10bnTsh kwa mwaka. Kuna namna mbili ya kudeal na shirika la namna hii.

1. Kufilisi shirika na kuuza mali zake zote ili kulipa madeni ya nyuma na kuanza upya kabisa. Shirika halikuwa na mali za kuweza kufilisi kulipa madeni ya nyuma.

2. Kuliwezesha shirika kwa kulipa mtaji ambao hautakuwa na riba/interest zingine hivyo kuongeza mzigo mpya. Hivyo kununua ndege kwa cash kulilenga kufufua shirika kwa kuhakikisha linajiendesha lenyewe na kulipa madeni ya nyuma lenyewe

3. Kwa mfano kwenye matatizo ya corona, ATCL ingekuwa inalipa deni hata leo hii hata kama dunia nzima ndege hazifanyi kazi.

Sijaona ujinga wa kununua ndege kwa cash based on this experience and scenario. Model yaw engine wanafanyakje duniani sio lazima ifanane nay a kwetu hapa.

JPM hakuwa na muda wa ku entertain discussion hizi ambazo watu wanajifanya wasomi bila ku customize hali halisi ya nchi yetu

Kwa Hapa Assad kama msomi, kakosea mno.

JPM was million years ahead of Assad
Asante mkuu Kwa madini haya, Kwa nini wengi wa watoa hoja wao kazi Yao ni kulaumu tu bila kutafuta ukweli wa hizo hoja za prooesel?
 
Back
Top Bottom