Shida hyo rentention ndio wizi wanaotupigaswali langu bado liko pale pale kwanini iyo retention hawaiweki kwenye salary slip kwanini waifiche fiche
nasema uongo ndugu zanguuuuuDawa ya deni ni kulipa na so vinginevyo
Kupata mkopo shida alaf wanataka walipwe kirahis😂😂😂Ndio maana mi silipi hilo deni lao na hawanipati ng'o.
Una NIDA ???Ndio maana mi silipi hilo deni lao na hawanipati ng'o.
Guys, don't fools us around. Stop going around the bush.....tell us here in naked truth why salary slip shows 47+billion loan amount due? Why? Mnasema kinachoonekana kwenye loan statementSerikali hii imekaa kiwizi wizi.
Inakusanya kodi ni pesa zetu. Kisha inatukopesha na riba kuwa.
Hii retention fee ni ya nini?
Mbona wazee wetu wanaidai serikali kupitia NSSF na PSSSF mpaka mwaka unapita wanadai mafao....mbona hawaweki hiyo value retention fee?
Wangapi wanaidai serikali na mbona hatuoni wamejiwekea VRF?
Wizi mtupu.
Ninayo, sijaajiriwa. Natumia TIN ya mama yangu na biashara zinasoma zake yeye. Wananipata wapi?Una NIDA ???
HahahhaLipeni madeni....mlikopeshwa
Vipi ukitaka Passport ya kusafiria 😎😎Mbona hawajasema kwanini hapo i
Guys, don't fools us around. Stop going around the bush.....tell us here in naked truth why salary slip shows 47+billion loan amount due? Why? Mnasema kinachoonekana kwenye loan statement
Ninayo, sijaajiriwa. Natumia TIN ya mama yangu na biashara zinasoma zake yeye. Wananipata wapi?
Ninayo.Vipi ukitaka Passport ya kusafiria 😎😎