Kauli hii ya Rais iliharakisha nami kulia. Imeharakisha niuone haraka upande wa pili wa Rais JPM, na imeharakisha watu kumuona vingine Rais wao.
RIP BWM, mbele yako nyumba yetu, siku zetu sio nyingi.
Misiba inatupatia formula ya kuishi hapa duniani, maana wote iko siku tutakufa.
Maswali ni...