Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,488
...
Hata semister examination haujafanya unataka ajira ?Habari wakubwa heshima yenu!
Mimi ni mwanafunzi wa first year chuo cha utumishi nahitaji ushauri wa kuhusiana na ajira ya part time itayoweza kunisaidia kupata pesa ndogo ndogo kwa ajili ya matumizi yangu na kuwapunguzia gharama wazazi.
Nipo Dar es Salaam, Kigamboni!
Karibuni
Ungekuwa chuo kikuu ungepata, maana ma Dkts/professors wana madili mengi. Hata hivyo jaribu kuongea na waalimu wa hapo chuoniHabari wakubwa heshima yenu!
Mimi ni mwanafunzi wa first year chuo cha utumishi nahitaji ushauri wa kuhusiana na ajira ya part time itayoweza kunisaidia kupata pesa ndogo ndogo kwa ajili ya matumizi yangu na kuwapunguzia gharama wazazi.
Nipo Dar es Salaam, Kigamboni!
Karibuni 🙏
Angalau wewe umemfariji mkuu!!Mbon kam washaur mna stresss!!? Dogo kauliza jambo ambalo 80% ya wanfunzi wa miaka hii wanliwazaa. Muhim dogo sevu Tu hilo bum usianzish biashar wal nn tunza hela UTANIKUMBUKA
hahaha Wape somo sie boda kulaza 50 sio tabu siku hizi wakati nimemaliza nilijiliwa sehem mshahara 500k manyanyaso kibaoIt's annoying haa!
Watu wamekujibu kwa hasira sio?
Tusamehe!
Weka Boom ikifikia 1300000 nunua pikipiki used hapo Dar itakuwa bado mpya Sana. Kisha piga bodaboda Kama sio mdau wa GPA nono ila Kama unataka GPA Kubwa subiri umalize.
Bodaboda ndo Kila kitu kitaa.